Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda aagiza sensa ya mifugo upya

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kufanya upya sensa ya mifugo kwani ya mwisho ilifanyika miaka 30 iliyopita.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AFUNGUA MASHINDANO YA MIFUGO DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama mapishi ya pilau la kuku ya Mama Irene mamuya (kulia) wa Chako ni Chako Dodoma katika maonyesho ya wakulima Nanenane yaliyofanyika kwenye uwanja wa Nzuguni Dodoma August 6, 2014. Ngombe mwenye kilo 1000 kutoka Mafinga Iringa akipita mbele ya mgeni rasmi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika mashindano ya mifugo yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu kwenye uwanja wa Nzuguni wa Nanenane mjini Dodoma August 6, 2014. Ngombe wakiwa wamejipanga katika maonyesho...

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA MIFUGO JIJINI MWANZA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa wadau wa mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza Septemba 5, 2014.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya Magu, Jacqueline Liana (kushoto) baada ya kufungua mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo kwenye ukumbi wa hoteli ya Malaika jijini Mwanza, Septemba 5, 2014. Kulia ni mfugaji na Mkulima kutoka Kiteto. Papian Emmanuel.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiagana na Kaimu Mkuu wa Mwanza na Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza mkutano kumaliza mgogoro

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameingilia kati mgogoro wa vijiji viwili vya wilaya za Sikonge na Manyoni, na kuagiza kuitishwe mkutano utakaowashirikisha wanavijiji husika.

 

11 years ago

Mwananchi

Pinda aagiza halmashauri kununua mashine

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameziagiza halmashauri za miji kuhakikisha kuwa zinatenga Sh4.5 milioni kila mwaka kwa ajili ya ununuzi wa mashine 10 kwa ajili ya kufyatulia matofali ya gharama nafuu.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza Jiji kuongeza mapato

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa Jiji la Mbeya, kuongeza mapato yake ya ndani kwa kuweka mifumo ya kisasa ya ukusanyaji mapato.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza halmashauri kuwa na miradi ya matofali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameziagiza halmashauri zote nchini, kuingiza katika mipango yake mradi wa kuwawezesha vijana kufyatua matofali kwa teknolojia ya kisasa, uliobuniwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ikiwa ni suluhu ya ajira na utunzaji wa mazingira.

 

11 years ago

Mwananchi

TLS, LHRC wakusudia kumburuta Pinda upya mahakamani

Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Kituo cha Msaada wa Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimeanza rasmi mchakato wa kukata rufaa dhidi ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa kauli yake kuwa ‘wanaofanya fujo wapigwe tu’.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu Pinda katika tete-a-tete na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

PG4A8336

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa  Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, bungeni mjini Dodoma May 7, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani