Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LHRC yashtushwa Ikulu kuvunja Tume ya Katiba

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimestushwa na kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kuivunja mapema Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema haikustahili kuvunjwa wakati Bunge Maalumu la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UFAFANUZI KUTOKA IKULU KUHUSU TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

Gazeti la Raia Mwema lililotoka leo, Jumanne, Aprili 2, 2014, limeandika habari zisizokuwa za kweli chini ya kichwa cha habari : “Warioba: Ikulu imetutupia virago”. Habari hiyo inamkariri aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Mheshimiwa Jaji Joseph Warioba akidai kuwa Tume yake ilifukuzwa kazi, kwamba haikupewa muda wa kuandaa na kuwasilisha nyaraka za kukabidhi ofisi na madaraka na kwamba wajumbe wa...

 

10 years ago

StarTV

LHRC yakosoa sheria ya uanzishwaji tume ya maadili ya watumishi umma.

Na Neema Ndetto,

Dar es Salaam,

 

 

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu LHRC kimekosoa sheria ya uanzishwaji wa Tume ya Maadili kwa Watumishi kwa madai kuwa imelenga kuwalinda watumishi wanaoendelea kufuja mali za umma.

 

Kimewataka watanzania kuvisoma kwa umakini vifungu vya Katiba inayopendekezwa vinavyozungumzia uwajibikaji ili waweze kuvitumia kuwawajibisha viongozi wao.

 

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimebainisha hayo jijini Dar es Salaam wakati kikizungumzia mwenendo na...

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Kweli, tusitunge Katiba kwa kuvunja Katiba

>Zikiwa zimebaki wiki mbili kabla ya kuanza tena kwa vikao vyake, baadhi ya wanasheria maarufu wamesema Bunge la Katiba halitaweza kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya bila kuwapo wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

10 years ago

Daily News

LHRC wants changes to Katiba review law


Daily News
LHRC wants changes to Katiba review law
Daily News
THE Legal and Human Rights Centre (LHRC) has urged the Attorney General (AG) to consider amending all ambiguous sections in the Constitutional Review Act, especially the one pertaining to presidential powers. Speaking to journalists, LHRC Director of ...
Activists say JK has powers to call off Constitutional AssemblyIPPmedia

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

LHRC yataka Katiba ije na Sheria ya Ardhi

Wananchi wa Kijiji cha Msangamkuu Mtwara vijijini mkoani hapa wameitaka Serikali kuunda Sheria ya Ardhi inayoweka wazi suala nzima la umiliki wa rasilimali hiyo kwa lengo la kupunguza migogoro katika jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

LHRC yasambaza elimu ya Katiba kwa wagonjwa

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeamua kuwatembelea wananchi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo hospitalini, kwa ajili ya kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa kufuatilia na kushiriki mchakato wa mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

TheCitizen

LHRC to launch film, song on Katiba process

>The Legal and Human Rights Centre (LHRC) will today launch a film and a new song aimed at sensitising and creating awareness on the ongoing process of writing the new constitution.

 

10 years ago

Vijimambo

LHRC WAZINDUA KANZIDATA YA KATIBA DAR ES SALAAM

Afisa KANZIDATA wa maswala ya katiba, Mr. Majaliwa Ngairo wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu akionyesha kwa videto juu ya utumiaji wa KANZIDATA ya KATIBA kwa mgeni rasmi Mhe. Jaji mstaafu Thomas Mihayo na Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Dr. Helen Kijo-Bisimba.Afisa utafiti wa maswala ya katiba, Ms. Geline Fuko wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu akielezea juu ya utumiaji wa KANZIDATA ya KATIBA kwa mgeni rasmi na wageni waalikwa ndani ya KATIBA INFORMATION CENTRE...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani