Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LHRC yasambaza elimu ya Katiba kwa wagonjwa

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeamua kuwatembelea wananchi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo hospitalini, kwa ajili ya kuwaelimisha kuhusu umuhimu wa kufuatilia na kushiriki mchakato wa mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAHOJI UPELELEZI WA KESI YA UHUJUMU UCHUMI INAYOMKABILI OFISA ELIMU KWA UMMA LHRC

Na Karama Kenyunko, Michuzi Globu ya jamii.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika  kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Ofisa Elimu kwa Umma wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Tito Magoti (26) na mwenzake kueleza hali ya upelelezi umefikia wapi kama unakwenda mbele au la.
Tito anashtakiwa na mwenzake mbaye ni mtaalamu wa masuala ya Tehama Theodory Gyan (36) ambapo wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka ya utakatishaji fedha wa Sh.milioni 17,...

 

11 years ago

Michuzi

LHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MWENENDO WA MCHAKATO WA UTUNGAJI WA KATIBA MPYA TANZANIA UNAOENDELEA DODOMA

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk.Helen Kijo-Bisimba (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa mchakato wa utungaji wa Katiba Mpya ya Tanzania unaoendelea Dodoma. Kushoto ni Mtetezi wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya.
Mtetezi wa Haki za Wanawake, Ananilea Nkya (katikati), akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Ofisa Mipango kutoka Taasisi ya Sikika, Patrick Kinemo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha...

 

11 years ago

Michuzi

TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.

Na Tiganya Vincent-Dodoma   Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.   Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...

 

5 years ago

Michuzi

THBUB, LHRC wajipanga kutoa elimu ya haki za binadamu mashuleni




Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu akiongea katika kikao cha majadiliano kilichowakutanisha ujumbe wa THBUB na Viongozi wa LHRC kwenye ofisi za kituo hicho jijini Dodoma leo (Februari 27, 2020). Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Anna Henga.Mwenyekiti wa THBUB, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu...

 

10 years ago

Daily News

LHRC wants changes to Katiba review law


Daily News
LHRC wants changes to Katiba review law
Daily News
THE Legal and Human Rights Centre (LHRC) has urged the Attorney General (AG) to consider amending all ambiguous sections in the Constitutional Review Act, especially the one pertaining to presidential powers. Speaking to journalists, LHRC Director of ...
Activists say JK has powers to call off Constitutional AssemblyIPPmedia

all 2

 

9 years ago

Mwananchi

NEC yasambaza karatasi za kura kwa uhakiki

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa karatasi za mfano za kupigia kura na kuwataka wadau kuzikagua na kubainisha kasoro zilizopo kabla karatasi halisi hazijawasili.

 

10 years ago

TheCitizen

LHRC to launch film, song on Katiba process

>The Legal and Human Rights Centre (LHRC) will today launch a film and a new song aimed at sensitising and creating awareness on the ongoing process of writing the new constitution.

 

11 years ago

Mwananchi

LHRC yataka Katiba ije na Sheria ya Ardhi

Wananchi wa Kijiji cha Msangamkuu Mtwara vijijini mkoani hapa wameitaka Serikali kuunda Sheria ya Ardhi inayoweka wazi suala nzima la umiliki wa rasilimali hiyo kwa lengo la kupunguza migogoro katika jamii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

LHRC yashtushwa Ikulu kuvunja Tume ya Katiba

KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimestushwa na kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kuivunja mapema Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kusema haikustahili kuvunjwa wakati Bunge Maalumu la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani