Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIBYA MABINGWA CHAN 2014

TIMU ya taifa ya Libya imetwaa ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2014 baada ya kuifunga Ghana kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya bila kufungana Jumamosi Uwanja wa Cape Town. Ushindi huo ni sawa na Libya kulipa kisasi kwa Ghana baada ya kufungwa kwa penalti 7-6 miaka 32 iliyopita kwenye fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Libya washinda CHAN 2014

Libya imepata ushindi wake wa kwanza katika fainali ya CHAN kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Ghana

 

11 years ago

BBC

Ghana and Libya progress at CHAN

Ghana win and Libya fight back to draw to book their places in the quarter-finals of the African Nations Championship.

 

11 years ago

BBC

CHAN: Libya oust Gabon on penalties

Libya go through to the semi-finals of the African Nations Championship after a dramatic penalties victory over Gabon.

 

11 years ago

BBC

CHAN 2014: Keshi proud of Nigeria

Stephen Keshi says he is proud of his Nigeria side despite defeat by Ghana in the African Nations Championship semi-final.

 

11 years ago

Dewji Blog

Arsenal mabingwa wa FA 2014

Timu ya Arsenal ya England imetwaa kombe la FA baada ya kubamiza Hull City kwa jumla ya magoli 3 – 2 kwenye fainali iliyofanyika katika uwanja wa Wembley siku ya jumamosi.

pics 1 arnesal

Wachezaji wa Arsenal wakishangilia ushindi

Katika mechi hiyo ya fainali Hull City ndio waliokuwa wa kwanza kuutikisa wavu wa Arsenal kwa magoli mawili ya haraka haraka yaliyofungwa ndani ya dakika 10 kipindi kwanza.

Goli la kwanza lilifungwa na James Chester dakika ya 3 huku goli la pili la Hull likifungwa katika dakika...

 

10 years ago

Africanjam.Com

FC BARCELONA MABINGWA WA ULAYA 2014/15

Barcelona walitawazwa mabingwa wa Ulaya kwa mara ya tano baada ya kuichapa Juventus mabao matatu kwa moja katika mechi kali ya fainali iliochezwa katika uwanja wa Olimpiki wa Berlin.
Onyesho la ufunguzi kabla ya fainali kati ya Barcelona na Juventus kuanzaBarcelona walikuwa wa kwanza kufunga kupitia Ivan Rakitic kunako dakika ya nne ya mwanzo wa kipindi cha kwanza.Alvaro Morata akishangilia baada ya kusawazisha goli la kwanzaHatahivyo Alvaro Morata alisawazisha .Lakini Luis Suarez alifunga...

 

11 years ago

Mwananchi

Ligi ya Mabingwa 2013-2014

Hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya 2013/14 itaendelea kesho na keshokutwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Man City ni mabingwa 2014

Manchester City walitawazwa mabingwa baada ya kuipiku Liverpool

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Ujerumani - Mabingwa wa Dunia!

Ujerumani ndiyo mabingwa wapya wa dunia baada ya kuichapa 1-0 Argentina katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia 2014, mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Maracana mjini Rio de Janeiro, Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani