Libya washinda CHAN 2014
Libya imepata ushindi wake wa kwanza katika fainali ya CHAN kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Ghana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
LIBYA MABINGWA CHAN 2014
TIMU ya taifa ya Libya imetwaa ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) 2014 baada ya kuifunga Ghana kwa penalti 4-3 kufuatia sare ya bila kufungana Jumamosi Uwanja wa Cape Town. Ushindi huo ni sawa na Libya kulipa kisasi kwa Ghana baada ya kufungwa kwa penalti 7-6 miaka 32 iliyopita kwenye fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).
11 years ago
BBC
Ghana and Libya progress at CHAN
Ghana win and Libya fight back to draw to book their places in the quarter-finals of the African Nations Championship.
11 years ago
BBC
CHAN: Libya oust Gabon on penalties
Libya go through to the semi-finals of the African Nations Championship after a dramatic penalties victory over Gabon.
11 years ago
BBC
CHAN 2014: Keshi proud of Nigeria
Stephen Keshi says he is proud of his Nigeria side despite defeat by Ghana in the African Nations Championship semi-final.
10 years ago
GPL
DIAMOND, VANESSA WASHINDA TUZO ZA 2014 AFRIMA HUKO NIGERIA
Peter Msechu akiwa amebeba tuzo ya Diamond Platnumz. Peter Msechu, Vanessa Mdee na Victoria Kimani katika pozi huko Lagos, Nigeria. MWANAMUZIKI Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ametwaa tuzo ya Best Male Artist in East Africa kutoka Tuzo za 2014 AFRIMA zilizofanyika huko jijini Lagos nchini Nigeria. Mwanadada Vanessa Mdee yeye ameshinda tuzo ya Best Female… ...
11 years ago
Bongo527 Jul
Diamond na Lady Jaydee washinda tuzo za AFRIMMA 2014 zilizofanyika Marekani
Kwa mara nyingine Diamond Platnumz ameendelea kuipeperusha vizuri bendera ya Tanzania kimataifa, baada ya kushinda tuzo ya AFRIMMA 2014 (African Muzik Magazine Awards) zilizofanyika July 26 Dallas, Marekani. Diamond ameshinda kipengele cha mwanamuziki bora wa kiume Afrika mashariki. Mtanzania mwingine aliyeing’arisha Tanzania katika tuzo hizo ni Lady Jaydee, ambaye nae ameshinda tuzo moja ya mwanamuziki […]
11 years ago
Bongo525 Aug
MTV VMA 2014: Beyonce azoa tuzo nyingi zaidi, Drake, Eminem, Miley Cyrus pia washinda (orodha kamili)
Beyonce licha ya kupata tuzo ya ‘Michael Jackson Video Vanguard Award, ndiye aliyeshinda tuzo nyingi zaidi katika MTV VMA 2014 zilizofanyika Jumapili (Agosti 24), huko California, Marekani. Bey alishinda tuzo nyingine tatu, ‘Best Collaboration’ na Jay Z, ‘Best Video With a Social Message’ pamoja na ‘Best Cinematography’. Wengine walioshinda ni Drake, Miley Cyrus, Eminem na […]
11 years ago
BBC
Nigeria and Ghana on course at CHAN
Nigeria and Ghana are in quarter-final action at the African Nations Championship and could meet in the last four of the tournament.
10 years ago
BBC
Guinea knock Senegal out of CHAN
Guinea beat Senegal to reach the finals of the 2016 African Nations Championship (CHAN) as Angola eliminate South Africa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania