Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LINA SANGA MWANZA

Balozi wa wanawake mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Linah Sanga (katikati) akiwa na warembo wa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

THT YAANDAA HAFLA YA KUMUAGA MSANII LINA SANGA

Msanii Lina akitoa zawadi kwa mkurugenzi wa Tanzania House of Talent(THT)Ruge Mutahaba katika hafla ya kumuaga msanii huyo kutoka chini ya THT na kuelekea kampuni ya No Fake Zone(NFZ)ambao ndiyo wanaanza kumsimamia msanii huyo iliyofanyika jana katika ofisi za THT,jijini Dar.Mkurugenzi wa THT akzungumza kwenye hafla hiyo ya kumuaga msanii Lina.Mkurugenzi wa THT,Rufe Mutahaba akitoa cheti cha Ustadi wa kazi kwa msanii Mwasiti ambaye ameitambulisha vyema taasisi hiyo tangu ilivyoanza.

 

11 years ago

GPL

LINAH SANGA: NACHIZIKA NA UPAJA WANGU

Stori:  Erick Evarist AISEEE! Ndege mnana kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Esterlina Sanga ‘Linah’ amefunguka kuwa katika mwili wake hakuna kitu anachokipenda kama miguu yake hususan katika sehemu ya upaja. Akizungumza na Global TV Online , Linah alisema kwa kuwa anapenda sehemu hiyo katika mwili wake, ndiyo maana mara nyingi hupendelea kuvaa nguo zinazoonyesha vizuri miguu yake na jinsi ilivyo mizuri....

 

10 years ago

GPL

MSANII MANAIKI SANGA ATINGA GLOBAL TV ONLINE LEO

Manaiki Sanga 'The Don' akisalimiana na Clarence Mulisa, Mkuu wa Kitengo cha  Teknolojia na Habari, Global Publishers. Manaiki Sanga akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Richard Manyota alipowasili kwa ajili ya mahojiano na Global TV Online leo.…

 

10 years ago

Bongo Movies

Life style: Manaiki Sanga, Mkali wa “Selfies” Hapa Bongo!!!

‘Selfie’ ni  aina ya picha ambazo watu hujipiga wenyewe kwa kutumia camera za simu zao au  digital camera na mara nyingi huwa ni kwaajili ya ku-share kwenye mitandao ya kijamii.

Leo katika pitiapitia za kurasa za waigizaji wa hapa bongo, nimebaini kuwa mwigizaji Manaiki Sanga ndie msanii ambae amepiga selfies kali zaidi, hapa nazungumzia zile zinazo jumuisha watu zaidi ya mmoja.

Kama unam-follow makali huyu kwenye mtandao wa instagram, utakubaliana na mimi kuwa jamaa anapenda sana mtindo...

 

10 years ago

Vijimambo

WEMA SEPETU ALIZUA JIPYA AKWAPUA BWANA WA LINAH SANGA.


Hii ndiyo picha iliyochafua hali ya hewa kati ya Wema na Linnah inasemekana ilipigwa kwenye sita kwa sita na huyo boyfriend wa Linnah. Jitiririshe hapa chini kusikia Linnah anaongea nini juu ya hii habari amabyo ndiyo joto la mjini bongo kwa sasa kunako mitandao ya kijamii.

Madam Wema Sepetu amkwapua bwana wa Linah Sanga akiongea kwa uchungu msanii huyo wa bongo fleva kwenye kipindi cha Ala za roho,Amedai penzi lake limekwenda na maji baada ya madam kufanya yake.Bwana huyo ndie alikua meneja...

 

10 years ago

Vijimambo

Help needed to find anyone who knew American Dean Erwin and Tanzanian Rehema Sanga

Hello everyone and the blogsphere Family, 
I am searching for anyone who knew an American man (white) named Dean Edward Erwin and a Tanzanian woman called Rehema Sanga. Mr. Erwin died in Arusha, Tanzania in 2011. He was married to Rehema Sanga. Together, they had three children. After the death of Mr. Erwin the mother become mentally ill and no one knows her whereabouts. 
If you know Dean Edward Erwin family in America or Rehema Sanga's family, please notify them that the couple's children...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

LINA: SIJAWAHI KUSAGANA

Stori: Shakoor Jongo MWANDAFADA anayekimbiza ndani ya Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ amesema anakiri kuwa usagaji upo kwa mastaa lakini yeye hajawahi kushiriki. Estelina Sanga ‘Linah’. Linah alifunguka hilo alipokuwa akifanya mahojiani na paparazi wetu hivi karibuni akasema:…

 

10 years ago

GPL

MWANAHABARI DEOGRATIAS MONGELA ALIVYO UKACHA UKAPERA KWA KUMUOA ELIZABETH SANGA DAR ES SALAAM JANA


Mwanahabari Deogratias Mongela wa Kampuni ya Global Publishers Ltd.
Bibi Harusi, Elizabeth Sanga.
Deogratias Mongela akiwa na mke wake Elizabeth Sanga wakati wa hafla ya ndoa yao iliyofanyika Hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana baada ya kufunga ndoa Katika Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mbezi Luis Dar es Salaam jana.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani