Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linah na Makomando wazungumzia moto watakaouwasha kwenye Fiesta Iringa leo

Msanii nyota wa kike wa muziki wa kizazi kipya, Linah Sanga ‘Linah’, leo ataungana na kundi la Makomando kutoa burudani ya nguvu katika tamasha la Serengeti Fiesta litakalofanyika katika Uwanja wa Samora, mkoani Iringa. Tamasha hilo limetua mkoa huo aliotoka Linah, ikiwa ni baada ya kuchengua maelfu ya wapenzi wa burudani kwenye Uwanja wa Ali […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Fiesta kuwasha moto Iringa leo

Baada ya kufanya makubwa katika Tamasha la Serengeti Fiesta lililofanyika kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora, tamasha hilo linafanyika leo hii mjini Iringa.

 

10 years ago

Vijimambo

SERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO

Msanii TI akiingia katika Ukumbi wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar Es Salaam kwaajili ya kufanya mkutano na waandishi wa Habari kabla ya kupanda kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta muda mfupi ujaoMkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Bw Steve Ganon akiongea na wanahabari leo katika ukumbi wa mikutano wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar wakati timu nzima ya Serengeti na Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta walipokuwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Serengeti Fiesta kuwasha moto Moshi leo

UHONDO wa burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mahiri waliopo katika msafara wa Serengeti Fiesta 2014, leo ni zamu ya wapenzi na mashabiki wa mji wa Moshi na vitongoni...

 

11 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI IRINGA WALAKAMATA WATUHUMIWA WA MWANAFUNZI ALIYECHOMWA MOTO, MWILI WAKE WAAGWA LEO


Marehemu Daniel Anael Lema enzi za uhai wake

Mwili wa Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) umeagwa leo na kusafirishwa kuelekea mkoani kwao kilimanjaro kwa mazishi.Wanafunzi wa chuo hicho na wananchi wa manispaa ya Iringa walioguswa na tukio hilo walijitokeza katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambako shughuli ya kuuga mwili huo ilifanyika.Jeshi  la Polisi...

 

10 years ago

GPL

SERENGETI FIESTA IRINGA GUMZO LA MWAKA

Msanii mkongwe wa Bongo Fleva, Herry Samir 'Mr Blue' akitoa burudani kwa wakazi wa Iringa. Mashabiki wakiendelea kuimba pamoja na Mr Blue .…

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA IRINGA WABURUDIKA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA 2014 NDANI YA UWANJA WA SAMORA.

 Wasanii wa muziki wa Bongofleva Ommy Dimpo na Vanessa Mdee a.k.a Vmoney wakilishambulia jukwaa kwa pamoja mbele ya umati wa mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014  lililofanyika jana ndani ya uwanja wa Samora mkoani Iringa,huku miluzi na shangwe zikisikika kila kona ya uwanja.Tamasha la Fiesta linatarajiwa kufanyika kesho mjini Morogoro katika uwanja wa Jamuhuri ambapo wasanii mbalimbali wa bongofleva watatumbuiza.Baadhi ya Mashabiki wakishangqweka. Msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani