Lions Club Yamtunuku Rais Kikwete Medali ya Uongozi Bora
![](http://1.bp.blogspot.com/-toXm_phEMns/U0fboUew00I/AAAAAAAFZ-I/pWp7JHqROKE/s72-c/D92A2779.jpg)
Gavana wa Shirika la Lions Club nchini Bwana Wilson Ndesanjo akimvika Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete medali maalum ya Uongozi Bora na mahusiano mema wakati wa hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Bwana Ndesanjo alisema klabu hiyo imeamua kumtunuku Rais Kikwete medali hiyo kwa kutambua mafanikio makubwa yaliyopatikana nchini katika Nyanja mbalimbali kutokana na uongozi wake mahiri.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mkono na Gavana wa Shirika la Lions Club...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tL2WYbPRQ0o/U6iYQBOs5eI/AAAAAAAFsjA/FtycHoqFX9U/s72-c/mzee.jpg)
Rais Kikwete apewa Tuzo Ya Uongozi Bora nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-tL2WYbPRQ0o/U6iYQBOs5eI/AAAAAAAFsjA/FtycHoqFX9U/s1600/mzee.jpg)
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo niBodi ya Taifa ya wahasibu na...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete apokea Tuzo ya Uongozi Bora nchini
Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali Bwana Ludovick Utouh akikmabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo maalum kwa kutambua mchango wange kwa taasisi simamizi katika kuimarisha Uwazi,Uadilifu na uwajibikaji wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni iliyofanyika katika ukumbi wa wa kimataifa wa mikutano Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo ni Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi,TAKUKURU, Mamlaka ya...
10 years ago
Michuzi18 wahitimu mafunzo ya uongozi bora waliyoanzishwa na Rais Obama
10 years ago
Dewji Blog09 May
Pinda afungua kongamano la Lions Club
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia mkutano wakati alipofungua kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam Me 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club wakimsikiliza Wairi Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua kongamano hilo kwenye hoteli ya White Sands jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na washiriki wa kongamano la 12 la Lions Club kwenye hoteli ya White Sands jijini...
11 years ago
Dewji Blog23 May
Pinda akutana na viongozi wa Lions Club
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akivalishwa Medali ya Juu ya Uongozi ya Club ya Lions na Gavana wa Lions Clubs International wa Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo wakati alipokutana na ujumbe wa Club hiyo kwenye makazi yake mjini Dodoma Mai 22, 2014.Kushoto ni M. Bakary na wapili kushoto ni LION dr. Hussein Hassan. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwashukuru viongozi wa Club ya Lions Clubs International baada ya kutunkiwa Medali ya juu ya Uongozi ya Club...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7BrfP04hkac/Xl69SpyqpPI/AAAAAAALgyM/X6uQnPtyr6oPO0gsvyRfqJDxcgaCjRbkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_9991-2048x1385.jpg)
DK,SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7BrfP04hkac/Xl69SpyqpPI/AAAAAAALgyM/X6uQnPtyr6oPO0gsvyRfqJDxcgaCjRbkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_9991-2048x1385.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Dar Swim Club watamba kutwaa medali, kwenda Dubai Jumatano
Wachezaji wa klabu ya Dar Swim Club wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuondoka.
Na Mwandishi wetu
Kocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Desemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2tmd1l9org4/VU6tY0H52AI/AAAAAAAHWeU/PneNG5q5Tmk/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGUA KONGAMANO LA LIONS CLUB
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tmd1l9org4/VU6tY0H52AI/AAAAAAAHWeU/PneNG5q5Tmk/s640/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WgImQ2ffEQg/VU6tYwJlHMI/AAAAAAAHWeQ/p0biXt7R2aM/s640/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zVremfb0_ms/VU6tZTSLQwI/AAAAAAAHWec/aHl_gSc0NEM/s640/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-nCv8_-lMIH4/VU4Qf5K5bnI/AAAAAAABN_c/JHzmlY24K6I/s72-c/pinda.jpg)
WAZIRI MKUU AISHUKURU LIONS CLUB KWA MISAADA YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-nCv8_-lMIH4/VU4Qf5K5bnI/AAAAAAABN_c/JHzmlY24K6I/s640/pinda.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda ameishukuru taasisi ya Kimataifa ya Lions Club kwa misaada ambayo imekuwa ikiitoa hapa nchini katika nyanja za afya, utunzaji mazingira na uokoaji wakati wa maafa.
Akifungua kongamano la 12 la mwaka linalojumuisha wadau wote wa Lions Club District 411 leo asubuhi (Jumamosi, Mei 9, 2015), Waziri Mkuu alisema anawashukuru wana Lions wote kwani miradi mingi wanayoifanya huwa ni kwa kujitolea tu.
“Serikali itaendelea kushirikiana na taasisi hii kwani kwa sehemu kubwa...