Dar Swim Club watamba kutwaa medali, kwenda Dubai Jumatano
Wachezaji wa klabu ya Dar Swim Club wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuondoka.
Na Mwandishi wetu
Kocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Desemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5lDsa8c28R4/VmVpMSY7HUI/AAAAAAAIKq8/7y3-luBGnm8/s72-c/swima.jpg)
WAOGELEAJI WA SWIM CLUB KWENDA DUBAI DISEMBA 9 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lDsa8c28R4/VmVpMSY7HUI/AAAAAAAIKq8/7y3-luBGnm8/s640/swima.jpg)
Na Mwandishi wetuKocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Disemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
9 years ago
TheCitizen12 Dec
EDITORIAL: Dar Swim Club initiative must be fully supported
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-lETRRsznAN8/Vdm0pzeyFjI/AAAAAAABFuQ/W8DZ-W3Bs1k/s72-c/Br.jpg)
MUINGEREZA MO FARAH AWASHINDA WAKENYA NA KUTWAA MEDALI YA DHAHABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-lETRRsznAN8/Vdm0pzeyFjI/AAAAAAABFuQ/W8DZ-W3Bs1k/s640/Br.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUU11ufxouo/Vdm0p7O76sI/AAAAAAABFuY/dvFLgjPUa1c/s640/Br1.jpg)
Hata hivyo katika mbio za mwaka huu, Farah...
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Askari Fabiola apongezwa kwa kutwaa medali Kilimanjaro Marathon 2015
Mshindi wa Kilimanjaro marathon 2015 WP 4615 CPL Fabiola William wa jeshi la polisi mkoa wa Singida (katikati) akipunga mkono akiwa kwenye msafara uliompokea ukielekea ofisini kwa kamanda wa polisi mkoa wa Singida. WP Fabiola amezaliwa kata ya Ilongero jimbo la Singida kaskazini kata ambayo pia Inspekta Jenerali wa Jeshi la polisi nchini, Ernest Mangu ndiko alikozaliwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
JESHI la polisi mkoa wa Singida,limeahidi kuendelea kuwahimiza na kuwahamasisha askari wake...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-toXm_phEMns/U0fboUew00I/AAAAAAAFZ-I/pWp7JHqROKE/s72-c/D92A2779.jpg)
Lions Club Yamtunuku Rais Kikwete Medali ya Uongozi Bora
![](http://1.bp.blogspot.com/-toXm_phEMns/U0fboUew00I/AAAAAAAFZ-I/pWp7JHqROKE/s1600/D92A2779.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIcLRo5LoE8/U0fbxwVGNKI/AAAAAAAFZ-Q/HVmu7_N3-0E/s1600/D92A2781.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjblaeJYWauFMnKGIxr4WU0Q5sTLgghzz1oCB76QpOlVJMBjaHwKLbLBeLo1w5MWEYgg7rqVczdOGW00OKCh6uTH7/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO AFA AKIJIANDAA KWENDA DUBAI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
Treni ya kwenda Bara yaahirishwa hadi kesho Jumatano Juni 10, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-yLU2uquS8Mw/VXbFOu4EqAI/AAAAAAAHdUs/FNyfyj6lEMY/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumanne Juni 09, 2015 maeneo ya Stesheni za Ngeta na Ruvu mkoani Pwani ambapo mabehewa matano yenye shehena ya sukari yameanguka...
10 years ago
Vijimambo24 Feb
YANGA BAADA YA KUZIPIGA KIBAJAJA MBEYA CITY NA PRISON SASA KUPAA KWENDA BOTSWANA JUMATANO HII.
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0865.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Dar watamba mbio za magari zilizofanyika Arusha
Mwendesha magari Randeep Shingh kutoka jijini Dar es Salam ameibuka mshindi katika mashindano ya kila mwaka ya mbio za nyika za magari nane-nane rally yaliyotimua vumbi katika mji wa Arusha mwishoni mwa wiki.
Mashindano hayo yamefanykia kwa siku mbili mfululizo huku yakishuhudiwa ushindani mkali kwa madereva hao waliotoka mikoa mbalimbali na Randeep Shingh akiwa na msoma ramani Guvinder Singh wa gari ya Mitsubishi lancer akiibuka mshindi...