MREMBO AFA AKIJIANDAA KWENDA DUBAI
![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjblaeJYWauFMnKGIxr4WU0Q5sTLgghzz1oCB76QpOlVJMBjaHwKLbLBeLo1w5MWEYgg7rqVczdOGW00OKCh6uTH7/mrembo.jpg?width=650)
Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’ BINTI mmoja aliyefahamika kwa jina la Suzana Adamu (20), mkazi wa Mazizini- Ukonga jijini Dar amefariki dunia kwa kugongwa na gari akitoka kukamilisha taratibu za viza kwa ajili ya kwenda Dubai kufanya kazi. Ndugu wa marehemu Suzana Adamu wakilia kwa uchungu. Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo, ilitokea Agosti Mosi, mwaka huu saa 2:30 ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5lDsa8c28R4/VmVpMSY7HUI/AAAAAAAIKq8/7y3-luBGnm8/s72-c/swima.jpg)
WAOGELEAJI WA SWIM CLUB KWENDA DUBAI DISEMBA 9 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lDsa8c28R4/VmVpMSY7HUI/AAAAAAAIKq8/7y3-luBGnm8/s640/swima.jpg)
Na Mwandishi wetuKocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Disemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Dar Swim Club watamba kutwaa medali, kwenda Dubai Jumatano
Wachezaji wa klabu ya Dar Swim Club wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuondoka.
Na Mwandishi wetu
Kocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Desemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akutana na Mtendaji Mkuu wa Dubai Chamber of Commerce and Industry
![](http://3.bp.blogspot.com/-RwHzwAjBXGg/VAR6mUGR6bI/AAAAAAAGZ9c/VWYnfHf7OdQ/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
Katika mazungumzo, wamejadiliana uwezekano wa kuwa na ziara ya kibiashara kwenda Tanzania, kwa makampuni na viwanda vilivyopo Dubai, ili kukutana na wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda Tanzania, ili kujionea na kuibua fursa za uwekezaji. Wamekubaliana ziara hiyo ifanyike mwanzoni mwa mwaka kesho na hivyo basi kuanza maandalizi mapema.
Mwezi Novemba,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/vNjHtuliLts/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s72-c/20140803_212527.jpg)
DRAGON MART YA DUBAI WAKUTANA TENA NA BALOZI MDOGO WA TANZANIA DUBAI, MHE. OMAR MJENGA
Nia yao pamoja na Wizara, ni kujenga kituo cha ubora( centre of excellency) kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika.
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Hfu-rv2L4w/U9-Ixmp_LpI/AAAAAAAF9AU/HvxVP3pvWLY/s1600/20140803_212527.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5H_s3CSgjk0/U9-IxcuHcSI/AAAAAAAF9AA/PpTVzBauePk/s1600/20140803_200704.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nxvdtWuWaMQ/U9jBDH9XNkI/AAAAAAAF71Y/K2De5vEA_Jw/s72-c/unnamed+(19)b.jpg)
Mabalozi Wadogo Dubai wakutana na Wafalme wa Dubai, Sharjah, Ajman, Fujairah, Umm Ul Quwain na Ras Al Kheimah.
![](http://4.bp.blogspot.com/-nxvdtWuWaMQ/U9jBDH9XNkI/AAAAAAAF71Y/K2De5vEA_Jw/s1600/unnamed+(19)b.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KUaibDw59nk/U9i_9uenvXI/AAAAAAAF70s/kqjzFYeaVK8/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CHvajjRPI-U/U9i_9pb_CBI/AAAAAAAF70w/-xAYRBjMtZI/s1600/unnamed+(11).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-viRFVrpuDMM/U9i_926Y2iI/AAAAAAAF704/ZlifGOxDqe0/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BMSs9LzzFWg/U9i_-7GoFcI/AAAAAAAF71A/ghIE-a_awzE/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s72-c/unnamed+(8).jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai, Mhe. Omar Mjenga Akutana na Mkurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE, Ofisi ya Dubai.
![](http://1.bp.blogspot.com/-b2vW_37bd2I/U0KxCh16XbI/AAAAAAAFZMc/nn9sHTq8-FY/s1600/unnamed+(8).jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Dec
11 years ago
Habarileo31 Jul
Polisi aliyetimuliwa kazi adakwa akijiandaa kupora
ASKARI Polisi aliyefukuzwa kazi kwa utovu wa nidhamu mwaka 2012 baada ya kukutwa na silaha katika ukumbi wa disko mkoani Kilimanjaro, James Marwa (26) amekamatwa na Polisi wa Kanda Maalumu ya Tarime-Rorya akidaiwa kuwa katika harakati za kwenda kufanya uhalifu eneo la mgodi wa Nyamongo.