WAOGELEAJI WA SWIM CLUB KWENDA DUBAI DISEMBA 9 MWAKA HUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5lDsa8c28R4/VmVpMSY7HUI/AAAAAAAIKq8/7y3-luBGnm8/s72-c/swima.jpg)
Wachezaji wa klabu ya Dar Swim Club wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuondoka.
Na Mwandishi wetuKocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Disemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Dar Swim Club watamba kutwaa medali, kwenda Dubai Jumatano
Wachezaji wa klabu ya Dar Swim Club wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya kuondoka.
Na Mwandishi wetu
Kocha wa klabu ya kuogolea ya Dar Swim Club, Michael Livingstone ametamba kuwa waogelaji wake chipukizi watatwaa medali mbalimbali katika mashindano ya kuogelea ya kimataifa ya Dubai yanayojulikana kwa jina la “Hamilton Aquatics Dubai Long Course” yaliyopangwa kuanza Desemba 11.
Akizungumza jijini jana, Livingstone alisema kuwa waogeleaji wote 13 wapo katika morali ya hali ya juu baada ya...
9 years ago
MichuziTAMASHA LA MADIVA KUFANYIKA DISEMBA 4 MWAKA HUU MKOANI MBEYA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0bXxbr1AOPU/Vl2T62GAcbI/AAAAAAAIJgs/L9Pq26OuIt8/s72-c/IMG_1541%2B2%2B%2528Medium%2529.jpg)
MKUTANO WA KUKUZA SEKTA YA UKARIMU NA UTALII HUFANYIKA KWA MARA YA PILI JIJINI DAR DISEMBA 7 NA 8 MWAKA HUU
![](http://1.bp.blogspot.com/-0bXxbr1AOPU/Vl2T62GAcbI/AAAAAAAIJgs/L9Pq26OuIt8/s640/IMG_1541%2B2%2B%2528Medium%2529.jpg)
Mkutano huu unahusu sekta ya ukarimu na utalii, Katika jukwaa hilo litategemea kuzungumzia ujumbe juu ya ukarimu kwa wadau wa sekta ya utalii wakiwemo wawekezaji, wamiliki wahoteli, kampuni za usimamizi, bidhaa, mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali, wasambazaji na...
9 years ago
TheCitizen12 Dec
EDITORIAL: Dar Swim Club initiative must be fully supported
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RAKmEUklrkk/VI9BH2n5XNI/AAAAAAADSD4/j8Oud0FKEDk/s72-c/KONGAMANO%2BLA%2BUWEKEZAJI%2BSEKTA%2BYA%2BUTALII%2BKUFANYIKA%2BDUBAI%2BTAREHE%2B1_0001.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjblaeJYWauFMnKGIxr4WU0Q5sTLgghzz1oCB76QpOlVJMBjaHwKLbLBeLo1w5MWEYgg7rqVczdOGW00OKCh6uTH7/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO AFA AKIJIANDAA KWENDA DUBAI
10 years ago
Dewji Blog12 Dec
Skylight Band inakukaribisha Thai Village Ijumaa hii katika msimu huu wa mapumziko mwezi Disemba
Divas wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya viunga vya Thai Village Masaki wakiongozwa na Meneja wa Band Aneth Kushaba AK47 (katikati), Digna Mbepera (kulia) pamoja na Bela Kombo.
Aneth Kushaba AK47 sambamba na Bela Kombo wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam.
Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa bongo akifanya yake jukwaani kwa mashabiki wa Skylight Band huku akisindikizwa...
9 years ago
Bongo509 Nov
Inspekta Haroun kurap matukio ya mwaka mzima kwenye ‘Januari/Disemba’
![Inspekta](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Inspekta-300x194.jpg)
Inspekta Haroun amejipanga kufunga mwaka kwa kuachia wimbo uitwao Januari/Disemba utaokuwa ukizungumzia matukio yote ya mwaka mzima.
Inspekta amesema amefanya hivyo ili watu wabaki na kumbukumbu ya matukio ya mwaka 2015.
“Nimezungumzia matukio ya mwaka mzima kuanzia Januari mpaka Disemba na ni idea ili kupata kitu kizuri ambacho hata mtu akikisikiliza anaelewa mwaka umeendaje,” rapper huyo ameiambia Bongo5.
“Hii ngoma itatoka mwaka huu, sasa hivi nipo kwenye michakato ya kuimalizia na...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...