Lipumba atoa somo bungeni
Mchumi aliyebobea Profesa Ibrahimu Lipumba, amepinga kauli za kuwa Serikali tatu ina gharama na badala yake akasema wanaopendekeza hizo hawana nia njema na Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
10 years ago
Habarileo07 Dec
Mgombea CCM atoa somo
WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPvmf97kEatkXahTMhQlCVgOxRO20yPrGr6AkV-4MwKdE154YNUwCtLo216xzaBHjMCaJkMzaLSnyNS28iWuyct/johari.jpg)
JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI
11 years ago
Mtanzania08 Aug
JK atoa somo la maendeleo Afrika
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.
Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.
Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.
“Kwa...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Mgombea urais ACT atoa somo
9 years ago
Habarileo29 Oct
Kiungo Toto Africans atoa somo
KIUNGO mchezeshaji wa Toto Africans ya Mwanza, Abdallah Seseme, amesema timu hiyo ina uwezo wa kufanya vizuri kwenye ligi ya msimu huu endapo wachezaji wenzake watajitambua.
10 years ago
Habarileo28 Sep
JK atoa somo kwa jumuiya ya kimataifa
USHIRIKI wa pamoja wa mataifa mbalimbali katika utatuzi wa matatizo yanayozikumba nchi hizo, ndiyo njia kuu na ya kipekee katika karne ya leo ya kukabiliana na changamoto za maendeleo. Hayo yalisemwa na Rais Jakaya Kikwete juzi katika Chuo Kikuu cha Rutgers, katika mji wa New Jersey, nchini Marekani.
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Mengi atoa somo kwa wanahabari
MWENYEKITI wa Kampuni za IPP Reginald Mengi amewataka waandishi wa habari wa Afrika kuandika habari zinazohusu jamii hasa zile zinazogusa maisha yao halisi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Atoa somo kuhusu polisi jamii
KAMISHNA wa Polisi Jamii nchini, Mussa Alli Mussa, amewataka wadau wa ulinzi na usalama, maofisa wa polisi na askari kote nchini, kuhakikisha wanaielewa dhana ya polisi jamii kwa ufasaha.