JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI
![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPvmf97kEatkXahTMhQlCVgOxRO20yPrGr6AkV-4MwKdE154YNUwCtLo216xzaBHjMCaJkMzaLSnyNS28iWuyct/johari.jpg)
Stori: Mayasa Mariwata SOMO! Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’, ametoa somo kwa baadhi ya wasanii wa kike ambao wamekuwa wakijibweteka na kushindwa kudumisha upendo kwa wapenzi wao baada ya kujifungua. Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akipiga stori na paparazi wetu, Johari alisema miongoni mwa vitu ambavyo huwashushia upendo wanawake wengi ni uchafu baada ya kuzaa na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/szrS1FfaDDKVnYU7NOTWLuKcBpTwKR048o*jzAtj8EN2AmaGLRzzitE51rFwo4f66TMgJObsZT7uiP38lpIgM3Ds7YCKqP-b/LULU.jpg)
AUNTY LULU AMPA SOMO JOHARI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*YFxIli*ZhwwVkfsE2fIM8Q54hKRjUHE0D8qMW92K5v7F-PZr0vDHZwy8tB2ZmFzEtRN4t9XV61z8WDEQiJTkS/DOKTAFADHILIAMZAWADIAZARIBAISKELI1.jpg?width=650)
DK. FADHILI AWAPA SOMO LA UZAZI MASTAA
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Lipumba atoa somo bungeni
11 years ago
Mtanzania08 Aug
JK atoa somo la maendeleo Afrika
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.
Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.
Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.
“Kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
10 years ago
Habarileo07 Dec
Mgombea CCM atoa somo
WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Kiungo Toto Africans atoa somo
KIUNGO mchezeshaji wa Toto Africans ya Mwanza, Abdallah Seseme, amesema timu hiyo ina uwezo wa kufanya vizuri kwenye ligi ya msimu huu endapo wachezaji wenzake watajitambua.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Sumaye atoa somo kukabili maradhi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema mwili wa mazoezi ni vigumu kukumbwa na magonjwa ya mara kwa mara hata yale makubwa kama kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na maradhi mbalimbali...
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Mgombea urais ACT atoa somo