Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI

Stori: Mayasa Mariwata SOMO! Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’, ametoa somo kwa baadhi ya wasanii wa kike ambao wamekuwa wakijibweteka na kushindwa kudumisha upendo kwa wapenzi wao baada ya kujifungua. Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Akipiga stori na paparazi wetu, Johari alisema miongoni mwa vitu ambavyo huwashushia upendo wanawake wengi ni uchafu baada ya kuzaa na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AUNTY LULU AMPA SOMO JOHARI

Stori: Gladness Mallya
SOMO! Staa wa Bongo Movies, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ameibuka na kumtaka msanii mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kukubaliana na matokeo ya aliyekuwa mpenzi wake Vincent Kigos ‘Ray’ kwamba kwa sasa ana uhusiano na mtu mwingine. Staa wa Bongo Movies, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akistorisha na paparazi wetu, Aunty Lulu alimtaka Johari kukubaliana...

 

9 years ago

GPL

DK. FADHILI AWAPA SOMO LA UZAZI MASTAA

Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emilly. IMELDA MTEMA, Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Fadhili Emilly ambaye ni mdhamini wa fursa ya wasomaji kujipatia Tv Flat Screen inayotoka kwenye gazeti hili, ameibuka na somo la uzazi kwa mastaa wa Bongo.
Akizungumza na mwandishi wetu jijini Dar juzi, Dk. Fadhili alisema wapo mastaa wanahangaika kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba atoa somo bungeni

Mchumi aliyebobea Profesa Ibrahimu Lipumba, amepinga kauli za kuwa Serikali tatu ina gharama na badala yake akasema wanaopendekeza hizo hawana nia njema na Tanzania.

 

11 years ago

Mtanzania

JK atoa somo la maendeleo Afrika

Rais Jakaya Kikwete

Rais Jakaya Kikwete

NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON

RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.

Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.

Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.

“Kwa...

 

10 years ago

GPL

DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO

Na Gladness Mallya
STAA wa Mchezo wa Bongo Dar es Salaam, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kuwataka wasanii wenzake kuepuka michepuko akidai wengi wao wanaiendekeza. Msanii Kulwa Kikumba 'Dude' akiwa ndani ya ofisi za Global Tv Online.
Akizungumza na paparazi wetu, Dude alisema michepuko ndiyo chanzo cha magonjwa na tasnia nzima ya filamu kuonekana haina maana hivyo ni vyema wasanii wakabadilika kwa kuiga...

 

10 years ago

Habarileo

Mgombea CCM atoa somo

WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.

 

9 years ago

Habarileo

Kiungo Toto Africans atoa somo

KIUNGO mchezeshaji wa Toto Africans ya Mwanza, Abdallah Seseme, amesema timu hiyo ina uwezo wa kufanya vizuri kwenye ligi ya msimu huu endapo wachezaji wenzake watajitambua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye atoa somo kukabili maradhi

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema mwili wa mazoezi ni vigumu kukumbwa na magonjwa ya mara kwa mara hata yale makubwa kama kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na maradhi mbalimbali...

 

9 years ago

Mwananchi

Mgombea urais ACT atoa somo

Mgombea urais wa ACT - Wazalendo, Anna Mghwira, amewataka Watanzania hususan vijana kusoma Sheria za nchi na kuzielewa ili kupambana na baadhi ya viongozi wanaotumia vyeo vyao kuwanyima haki zao za msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani