Sumaye atoa somo kukabili maradhi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema mwili wa mazoezi ni vigumu kukumbwa na magonjwa ya mara kwa mara hata yale makubwa kama kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na maradhi mbalimbali...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi20 Nov
Namna ya kukabili maradhi ya moyo
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
UWT yatoa somo kukabili Wapinzani
Na Mwandishi wetu
Wanawake nchini wametakiwa kutokuwa na woga katika kusimamia mambo mbalimbali ya maendeleo.
Wametakiwa kuwa katika mstari wa mbele hasa katika kusimamia masuala ya siasa, uchumi na ya kijamii kwa nguvu zote.
Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu Bara,Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Eva Mwingizi,wakati akifungua mafunzo ya siku moja ya wenyeviti na makatibu wa UWT, wilaya ya Kinondoni.
Alisema kwa kujiweka nyuma kutasababisha hata uwiano sawa wa...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Bilionea Buffet atoa helikopta kukabili ujangili
BILIONEA wa Kimarekani Howard G. Buffett kupitia taasisi yake ametoa msaada zaidi wa kukabiliana na ujangili ikiwemo helkopta pamoja na kusomesha marubani. Msaada huo una thamani ya Shilingi bilioni 3.8.
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Lipumba atoa somo bungeni
10 years ago
Habarileo07 Dec
Mgombea CCM atoa somo
WAGOMBEA wa nafasi ya uenyekiti wa mtaa katika maeneo mbalimbali, wametakiwa kutumia vizuri majukwaa yao kutangaza sera za vyama vyao na vile wanavyoweza kutatua matatizo ya wananchi, badala ya kutoa kashfa.
11 years ago
Mtanzania08 Aug
JK atoa somo la maendeleo Afrika
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
NA MWANDISHI MAALUMU, WASHINGTON
RAIS Jakaya Kikwete amesema sababu kubwa inayokwamisha maendeleo ya haraka kwa Afrika ni uzalishaji pamoja na matumizi madogo ya umeme.
Alisema hayo juzi kwenye mkutano wa kwanza wa wakuu wa nchi za Bara la Afrika uliofanyika chini ya uenyekiti wa Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye ni mwenyeji wa mkutano huo.
Rais Kikwete alisema bila kuwapo ongezeko kubwa la uzalishaji na matumizi ya umeme, Bara la Afrika halitatoka kwenye uduni.
“Kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwPvmf97kEatkXahTMhQlCVgOxRO20yPrGr6AkV-4MwKdE154YNUwCtLo216xzaBHjMCaJkMzaLSnyNS28iWuyct/johari.jpg)
JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S5oOR1dkyIlzjLv2MlL3W2SqSTeCjxiCYBdbaVRlBztZLUsaJXvnPoinxEVApx*lCTvUxjkPyuv6G8vpMBsv9MlfHvqKmiid/DUDE.jpg)
DUDE ATOA SOMO LA MCHEPUKO
11 years ago
Habarileo27 Mar
Sumaye atoa mhadhara wa uchumi Marekani
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ametoa mhadhara katika Chuo Kikuu cha Elizabeth City, Marekani na kueleza kuwa uchumi wa Tanzania unakua kwa wastani wa asilimia 7 kwa miaka 13 tangu mwaka 2000.