UWT yatoa somo kukabili Wapinzani
Na Mwandishi wetu
Wanawake nchini wametakiwa kutokuwa na woga katika kusimamia mambo mbalimbali ya maendeleo.
Wametakiwa kuwa katika mstari wa mbele hasa katika kusimamia masuala ya siasa, uchumi na ya kijamii kwa nguvu zote.
Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu Bara,Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Eva Mwingizi,wakati akifungua mafunzo ya siku moja ya wenyeviti na makatibu wa UWT, wilaya ya Kinondoni.
Alisema kwa kujiweka nyuma kutasababisha hata uwiano sawa wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Sumaye atoa somo kukabili maradhi
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema mwili wa mazoezi ni vigumu kukumbwa na magonjwa ya mara kwa mara hata yale makubwa kama kisukari, shinikizo la damu, kiharusi na maradhi mbalimbali...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UWT DODOMA MJINI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KATIKA KITUO CHA WAGONJWA WA UKOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrrUHbbsq7c/Xr_hqfZ2CZI/AAAAAAALqc0/MKJBVX74Zpcyg7Pr8HX_MhRlo7_u0IQ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.26.28%2BPM.jpeg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
Ufaransa yatoa somo uwekezaji gesi
BALOZI wa Ufaransa nchini, Malika Berek, amesema watanzania wana fursa kubwa kuwekeza katika sekta ya mafuta na gesi kwa kushirikiana na wawekezaji wa nje kwani mtaji wao ni rasilimali zao....
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
BOA yatoa somo kwa wafanyabiashara
BENKI ya Afrika (BOA) imewataka wafanyabiashara wadogo kuonyesha vigezo vinavyotakiwa ili kupata mikopo inayotolewa na benki hiyo, hatua itakayosaidia kuendeleza biashara zao. Hivi karibuni BOA ilisaini mkataba wa sh bilioni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZmfGrNF7vmY/VRsdyVZdxgI/AAAAAAAHOnc/GaSEiZ4BnYM/s72-c/DSCF7732.jpg)
PSPF YATOA SOMO KWA WADAU WA HABARI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZmfGrNF7vmY/VRsdyVZdxgI/AAAAAAAHOnc/GaSEiZ4BnYM/s1600/DSCF7732.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AhIZh75C2lU/VRsdzvihtQI/AAAAAAAHOnw/lIYuvf9rxaw/s1600/DSCF7745.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Benki ya Barclays yatoa somo la ajira kwa wanafunzi wa UDBS
Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/029.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDNXy8soBPqLr*su9M0giv6eI21wQ2M2JlVx8lERVgbolSX1q3pEQGKJt6V0g9gHnqNFiCJuoJhHYkJgxsNNAwb6/Airtel1.jpg?width=650)
AIRTEL YATOA SOMO KWA WANAFUNZI KUTUMIA VYEMA MAENDELEO YA TEKNOLOJIA
11 years ago
Michuzi10 Jun
TBL YATOA SOMO LA UKULIMA BORA WA ZAO LA SHAYIRI MKOANI ARUSHA
Joel Msechu mtaalamu wa zao la shayiri kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) akiwaonesha wakulima magonjwa wa shayiri na namna ya kuzuia magonjwa hayo katika katika mashamba yaliyopo Kijiji cha Emairete Monduli juu, mkoani Arusha. Wakulima hao huwezeshwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika uzalishaji wa zao hilo ambalo ni malighafi ya kutengenezea bia zinzozalishwa na kampuni hiyo.
11 years ago
MichuziSAFARI LAGER YATOA SOMO KWA WACHOMA NYAMA JIJINI MBEYA