Ufaransa yatoa somo uwekezaji gesi
BALOZI wa Ufaransa nchini, Malika Berek, amesema watanzania wana fursa kubwa kuwekeza katika sekta ya mafuta na gesi kwa kushirikiana na wawekezaji wa nje kwani mtaji wao ni rasilimali zao....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
WB yaipa somo la gesi Tanzania
9 years ago
StarTV13 Nov
Uwekezaji wa mapato ya mafuta, gesi watakiwa maendeleo ya watanzania
Kuongezeka kwa uwezo wa kiuchumi wa kuzalisha na kuwahudumia watanzania katika sekta ya elimu, afya na maendeleo ya jamii kutategemea uwekezaji wa mapato yanayotokana na rasilimali za mafuta na gesi.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Adolf Mkenda amesema ili rasilimali hizo ziwe endelevu na zenye manufaa kwa watanzania ni lazima zibadilishwe na kuwekezwa katika mitaji mingine.
Katika mkutano wa wadau wa gasi na mafuta jijini Dar es salaam Adolf Mkenda Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Kati kati ni Mwenyekiti wa Timu ya Uongozi wa Planet Core Bwana Deepak Balaji na Kulia ni Rais wa Taasisi hiyo Bwana Dilip Kulmarni.
Na Othman Khamis Ame
Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na Miundo mbinu ya Elimu, Madini, mafuta na Gesi, nishati na mawasiliano ya Planet Core kutoka...
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
UWT yatoa somo kukabili Wapinzani
Na Mwandishi wetu
Wanawake nchini wametakiwa kutokuwa na woga katika kusimamia mambo mbalimbali ya maendeleo.
Wametakiwa kuwa katika mstari wa mbele hasa katika kusimamia masuala ya siasa, uchumi na ya kijamii kwa nguvu zote.
Hayo yalielezwa jijini Dar es Salaam na Naibu Katibu Mkuu Bara,Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Eva Mwingizi,wakati akifungua mafunzo ya siku moja ya wenyeviti na makatibu wa UWT, wilaya ya Kinondoni.
Alisema kwa kujiweka nyuma kutasababisha hata uwiano sawa wa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
BOA yatoa somo kwa wafanyabiashara
BENKI ya Afrika (BOA) imewataka wafanyabiashara wadogo kuonyesha vigezo vinavyotakiwa ili kupata mikopo inayotolewa na benki hiyo, hatua itakayosaidia kuendeleza biashara zao. Hivi karibuni BOA ilisaini mkataba wa sh bilioni...
11 years ago
Habarileo06 Mar
Ufaransa yatoa bil.100/- kwa miji sita
SHIRIKA la Maendeleo la Ufaransa (AFD) limetoa Sh bilioni 100 kwa ajili ya uendelezaji wa miradi ya maji katika miji ya Mwanza, Bukoba na Musoma na miji midogo ya Lamadi, Magu na Misungwi. Waziri wa Fedha, Saada Mkuya na Waziri wa Biashara wa Ufaransa, Nicole Bricq walisaini makubaliano hayo jana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo11 Jul
Ufaransa yatoa bil 222/- kwa sekta ya maji
SERIKALI ya Tanzania na serikali ya Ufaransa wametiliana saini mikataba mitatu ya mikopo inayolenga kuisaidia Tanzania katika sekta ya maji na umeme.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PewL9P9I7Xo/Vf6jNhKOE9I/AAAAAAABgyI/hMCLv7YWSbU/s72-c/IMG-20150918-WA0028.jpg)
UTT AMIS YATOA ELIMU YA UWEKEZAJI WA PAMOJA-MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PewL9P9I7Xo/Vf6jNhKOE9I/AAAAAAABgyI/hMCLv7YWSbU/s640/IMG-20150918-WA0028.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y43a2jGZN_Q/Vf6jPdDuhwI/AAAAAAABgyQ/LIcNhd4bIuQ/s640/IMG-20150918-WA0030.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OmMW2LX_ffU/Vf6jPzsviRI/AAAAAAABgyU/6ngmQIhb2Jk/s640/IMG-20150918-WA0034.jpg)
11 years ago
Dewji Blog23 Jun
Benki ya Barclays yatoa somo la ajira kwa wanafunzi wa UDBS
Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Barclays Tanzania, Anna Chacha (kulia) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS) jana kuhusu fursa mbalimbali za ajira ndani ya benki hiyo na pia nini wafanye ili kuweza kumudu ushindani katika soko la ajira ndani ya sekta za kibenki.
![02](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/029.jpg)