LIVERPOOL, ARSENAL ILIKUWA SHUGHULI PEVU
![](http://3.bp.blogspot.com/-TA50COiRrXg/VJgUEGjp6VI/AAAAAAAABvo/XpVwVEE2-ew/s72-c/1.jpg)
KOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers, akiteta jambo na nahodha wake Steven Gerrard, katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Arsenal uliochezwa juzi usiku Uwanja wa Anfield. Timu hizo zilitoka sere ya mabao 2-2.
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Danny Welbeck, akiruka juu kumpongeza, Olivier Giroud, aliyefunga bao na Alex Oxlade-Chamberlain (kulia) katika mchezo dhidi ya Liverpool.
BEKI wa Liverpool, Martin Skrtel, akipata huduma ya kwanza baada ya kugongana na Olivier Giroud wa Arsenal katika mchezo...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1le1Hmk0MPrkbqi22S0v0v*hFdEBcMQxv8sXneg57zpN1uJAHKPOy8X4SRJyxcsYGEEF9lCytwCEP4pMAh1bk3fv/Lowassa.gif?width=650)
LOWASSA, MAGUFULI SHUGHULI PEVU
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Azam, Tusker shughuli pevu leo
MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Azam FC usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan kisiwani hapa, kumenyana na Tusker ya Kenya katika mchezo wa Kundi C,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkgF7aJ*SSkQlbL83hLXTkj*u275b2s641kP8gnclEzIK6Zh5dUtWe09tRyhNRqERH4ooQe9L9*GC6EQKcq0*wD/KADINDA.jpg?width=650)
MARTIN KADINDA: ‘KUMMENEJI’ WEMA SHUGHULI PEVU
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Arsenal kuchuana na Liverpool
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Arsenal, Liverpool ni vita
11 years ago
TheCitizen12 Feb
It’s Arsenal vs Liverpool today
11 years ago
BBCSwahili09 Feb
Liverpool yaidhalilisha Arsenal 5-1
11 years ago
Mwananchi08 Feb
Liverpool, Arsenal ‘majanga’