Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIVERPOOL, ARSENAL ILIKUWA SHUGHULI PEVU

KOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers, akiteta jambo na nahodha wake Steven Gerrard, katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Arsenal uliochezwa juzi usiku Uwanja wa Anfield. Timu hizo zilitoka sere ya mabao 2-2.
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Danny Welbeck, akiruka juu kumpongeza, Olivier Giroud, aliyefunga bao na Alex Oxlade-Chamberlain (kulia) katika mchezo dhidi ya Liverpool.
BEKI wa Liverpool, Martin Skrtel, akipata huduma ya kwanza baada ya kugongana na Olivier Giroud wa Arsenal katika mchezo...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LOWASSA, MAGUFULI SHUGHULI PEVU

Na Mwandishi Wetu HAPATOSHI! Siku moja baada ya mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) sasa imebainika kuwepo kwa shughuli pevu kati yake na Dk. John Pombe Magufuli, anayesimama kwenye ‘vita’ hiyo kuwakilisha Chama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam, Tusker shughuli pevu leo

MABINGWA watetezi wa michuano ya Kombe la Mapinduzi, Azam FC usiku wa leo wanatarajiwa kushuka dimba la Amaan kisiwani hapa, kumenyana na Tusker ya Kenya katika mchezo wa Kundi C,...

 

11 years ago

GPL

MARTIN KADINDA: ‘KUMMENEJI’ WEMA SHUGHULI PEVU

Stori: Musa Mateja
MENEJA wa Wema Isaac Sepetu, Martin Kadinda amekiri kuwa kumsimamia ‘kummeneji’ staa huyo ni shughuli pevu kwani ana tabia ya kubadilika. Meneja wa Wema Isaac Sepetu, Martin Kadinda akiwa na na Staa huyo. Alisema Wema anahitahi hesabu kwani kuna vitu unaweza kupanga naye lakini akashindwa kutimiza kutokana na hisia zake binafsi.… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuchuana na Liverpool

Arsenal itamkagua mshambuliaji Danny Welbeck ambaye ana jeraha la goti. Steven Gerrard na Martin Skrtel wanahudumia marufuku

 

11 years ago

Mwananchi

Arsenal, Liverpool ni vita

Kiungo Mathieu Flamini amemaliza kifungo chake cha mechi tatu, lakini mwenzake Santi Cazorla ni mgonjwa na ataikosa mechi ya leo ya Arsenal dhidi ya Liverpool katika Kombe la FA.

 

11 years ago

TheCitizen

It’s Arsenal vs Liverpool today

>Arsenal manager Arsene Wenger has described his side’s 5-1 thrashing at Liverpool as an “accident” and encouraged his players to respond by beating Manchester United today.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaidhalilisha Arsenal 5-1

Liverpool imewakandamiza Arsenal kwa kuwaangushia kipigo kikali cha magoli 5-1 katika uwanja wa Anfield.

 

11 years ago

Mwananchi

Liverpool, Arsenal ‘majanga’

Vinara wa Ligi Kuu England, Arsenal leo wanaanza kuruka viuzi vizito vya Februari wakati wakapokuwa ugeniniAnfield kucheza mechi yake ya kwanza kati ya mbili dhidi ya Liverpool katika wiki hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani