Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool, Arsenal ‘majanga’

Vinara wa Ligi Kuu England, Arsenal leo wanaanza kuruka viuzi vizito vya Februari wakati wakapokuwa ugeniniAnfield kucheza mechi yake ya kwanza kati ya mbili dhidi ya Liverpool katika wiki hii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Arsenal, Liverpool ni vita

Kiungo Mathieu Flamini amemaliza kifungo chake cha mechi tatu, lakini mwenzake Santi Cazorla ni mgonjwa na ataikosa mechi ya leo ya Arsenal dhidi ya Liverpool katika Kombe la FA.

 

11 years ago

TheCitizen

It’s Arsenal vs Liverpool today

>Arsenal manager Arsene Wenger has described his side’s 5-1 thrashing at Liverpool as an “accident” and encouraged his players to respond by beating Manchester United today.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaidhalilisha Arsenal 5-1

Liverpool imewakandamiza Arsenal kwa kuwaangushia kipigo kikali cha magoli 5-1 katika uwanja wa Anfield.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal kuchuana na Liverpool

Arsenal itamkagua mshambuliaji Danny Welbeck ambaye ana jeraha la goti. Steven Gerrard na Martin Skrtel wanahudumia marufuku

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yalipiza kisasi Liverpool

Arsenal iliilazaLiverpool mabao mawili kwa moja na kufuzu kushiriki katika robo fainali ya mchuano wa FA.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaapa kuicharaza Arsenal

Nahodha wa Liverpool Steve Gerrard anasema kuwa hatokubali kushindwa na Arsenal wikendi hii.

 

10 years ago

Mwananchi

Liverpool, Arsenal vitani England

Liverpool inatarajia kufanya ya msimu uliopita walipoitandika Arsebal mabao 5-1, wakati timu hizo zinapokutana kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu England kwenye Uwanja wa Anfield.

 

9 years ago

GPL

ARSENAL, LIVERPOOL HAKUNA MBABE

Mshambuliaji wa timu ya Arsenal, Alexis Sanchez (katikati) akiwatoka wachezaji wa timu ya Liverpool katika Uwanja wa Emirates. Sanchez wa Arsenal akipiga shuti mbele ya beki wa Liverpool, Dejan Lovren (6) kuelekea kwenye lango la wapinzani wao hao. Kipa wa Arsenal, Petr Cech akiokoa mpira wa hatari uliopigwa na Christian Benteke wa Liverpool (katikati), nyuma yake ni Nacho Monreal wa Arsenal. … ...

 

11 years ago

GPL

LIVE UPDATE: LIVERPOOL 4, ARSENAL 0

LINE-UPS: LIVERPOOL vs ARSENAL Liverpool: Mignolet, Flanagan, Cissokho, Toure, Skrtel, Gerrard, Henderson, Sterling, Coutinho, Suarez, Sturridge. Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Wilshere, Arteta, Oxlade-Chamberlain, Cazorla, Ozil, Giroud. Wafungaji wa Liverpool: Martin Skrtel 1' , Martin Skrtel 10', Raheem Sterling 17',  Daniel Sturridge 20' • ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani