Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yaua , Arsenal yachapwa Uefa

Liverpool imeanza vizuri kwa kuifunga Ludogorets Razgrad 2 -1 huku Arsenal wakichapwa 2 - 0 Borussia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaua, Liverpool hoi UEFA

Arsenal usiku wa kuamkia Alhamis ilishinda mabao 4 - 1 dhidi ya Galatasaray huku Liverpool ikifungwa goli 1- 0 na FC Basel.

 

10 years ago

StarTV

UEFA, Arsenal yaua huku Liverpool ikichapwa.

Mechi za klabu bingwa barani Ulaya iliendelea usiku wa kuamkia Alhamis wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani.

 
Vijana wa mzee Wenger, Arsenal, ulikuwa usiku wao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Galatasaray ya Uturuki, huku mchezaji mpya wa timu hiyo Danny ‘Electric’ Welbeck akiondoka na mpira baada ya kuzifumania nyavu za wapinzani wao mara tatu, moja likifungwa na Allexis Sanchez.

 
Katika mchezo huo Arsenal walimaliza pungufu baada ya kipa wao Wojciech Szczeny kutolewa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yachapwa na Swansea 2 -1

Arsenal walikuwa ugenini wakimenyana na Swansea ambapo wamepata kichapo baada ya kukubali kufungwa magoli 2 -1.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yachapwa na Hull City 1 - 0

Liverpool imezidi kujiweka katika hali ngumu ya kuingia katika nne bora ya ligi hiyo baada ya kukubali kichapo cha bao moja kwa bila kutoka kwa Hull City.

 

10 years ago

GPL

MANCHESTER CITY YALALA NYUMBANI, YACHAPWA 2-0 NA ARSENAL

Santi Cazorla akiifungia Arsenal bao la kwanza kwa mkwaju wa penalti. Santi Cazorla akishangilia na wenzake. Straika wa Arsenal,…

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yafuzu UEFA 2014

Asernal yafuzu kucheza fainali za kombe la UEFA kwa msimu wa 17 mfululizo, yaifunga Besiktas 1-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kumenyana na Madrid Uefa

Liverpool ina kibarua kigumu mbele yake itakapokutana na bingwa mtetezi wa kombe la uefa Real madrid

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal hoi dhidi ya Monaco UEFA

Matumaini ya Arsenal kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano Klabu Bingwa Ulaya imeingia nyongo baada ya kubali kipigo kutoka kwa Monaco ya Ufaransa cha 3 - 1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Bayern kundi moja UEFA

Arsenal kwa mara ya tatu katika misimu minne, itavaana na Bayern Munich baada ya kupangwa kundi moja katika michuano ya klabu bingwa Ulaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani