Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal yafuzu UEFA 2014

Asernal yafuzu kucheza fainali za kombe la UEFA kwa msimu wa 17 mfululizo, yaifunga Besiktas 1-0

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yafuzu,Liverpool yatoka sare

Yaya Sanogo aliifungia Arsenal bao lake la kwanza walipoizaba kilabu ya Borusia Dortmund na kuhakikisha wamefuzu.

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Algeria yaua, Ubelgiji yafuzu

>Algeria imeiangushia kipigo Korea Kusini baada ya kuichapa mabao 4-2 katika mechi ya Fainali za Kombe la Dunia iliyochezwa kwenye Uwanja wa Beira-Rio mjini Porto Alegre, Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal hoi dhidi ya Monaco UEFA

Matumaini ya Arsenal kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano Klabu Bingwa Ulaya imeingia nyongo baada ya kubali kipigo kutoka kwa Monaco ya Ufaransa cha 3 - 1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal na Chelsea zaambulia patupu Uefa

Kilabu za Uingereza ziliendelea kuandikisha matokeo mabaya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya baada ya Arsenal na Chelsea kushindwa kwenye mechi zao Jumanne usiku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaua, Liverpool hoi UEFA

Arsenal usiku wa kuamkia Alhamis ilishinda mabao 4 - 1 dhidi ya Galatasaray huku Liverpool ikifungwa goli 1- 0 na FC Basel.

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Bayern kundi moja UEFA

Arsenal kwa mara ya tatu katika misimu minne, itavaana na Bayern Munich baada ya kupangwa kundi moja katika michuano ya klabu bingwa Ulaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaua , Arsenal yachapwa Uefa

Liverpool imeanza vizuri kwa kuifunga Ludogorets Razgrad 2 -1 huku Arsenal wakichapwa 2 - 0 Borussia.

 

10 years ago

StarTV

UEFA, Arsenal yaua huku Liverpool ikichapwa.

Mechi za klabu bingwa barani Ulaya iliendelea usiku wa kuamkia Alhamis wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani.

 
Vijana wa mzee Wenger, Arsenal, ulikuwa usiku wao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Galatasaray ya Uturuki, huku mchezaji mpya wa timu hiyo Danny ‘Electric’ Welbeck akiondoka na mpira baada ya kuzifumania nyavu za wapinzani wao mara tatu, moja likifungwa na Allexis Sanchez.

 
Katika mchezo huo Arsenal walimaliza pungufu baada ya kipa wao Wojciech Szczeny kutolewa...

 

9 years ago

Bongo5

Arsenal yaingia 16 bora, matokeo ya mechi za UEFA Dec 9

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Michezo ya hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya iliendelea tena usiku wa December 9 kwa mechi nane baada ya makundi ya E, F, G na H, michezo hiyo ilichezwa wakati timu 10 kati ya 32 zikiwa zimeshajihakikishia nafasi ya kwenda hatua ya 16 bora hivyo nafasi 6 pekee ndio zilikuwa zinawaniwa.

2F37676500000578-0-image-a-46_1449694670245

2F379FD000000578-0-image-a-69_1449695516399

Klabu ya Arsenal ambayo ilikuwa nafasi ya tatu katika msimamo wa Kundi F, nafasi yake ya kuendelea hatua ya 16 bora ilikuwa mikononi mwake yenyewe, ilifanikiwa kuifunga Olympiakos ya Ugiriki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani