UEFA, Arsenal yaua huku Liverpool ikichapwa.
Mechi za klabu bingwa barani Ulaya iliendelea usiku wa kuamkia Alhamis wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani.
Vijana wa mzee Wenger, Arsenal, ulikuwa usiku wao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Galatasaray ya Uturuki, huku mchezaji mpya wa timu hiyo Danny ‘Electric’ Welbeck akiondoka na mpira baada ya kuzifumania nyavu za wapinzani wao mara tatu, moja likifungwa na Allexis Sanchez.
Katika mchezo huo Arsenal walimaliza pungufu baada ya kipa wao Wojciech Szczeny kutolewa...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Sep
Liverpool yaua , Arsenal yachapwa Uefa
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Arsenal yaua, Liverpool hoi UEFA
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Arsenal yafuzu UEFA 2014
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Arsenal yalazwa huku Mancity ikiponea
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Arsenal yashinda huku Tottenham ikilazwa
10 years ago
BBCSwahili29 Aug
Liverpool kumenyana na Madrid Uefa
9 years ago
BBCSwahili30 Sep
Arsenal na Chelsea zaambulia patupu Uefa
9 years ago
BBCSwahili28 Aug
Arsenal, Bayern kundi moja UEFA
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Arsenal hoi dhidi ya Monaco UEFA