Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Arsenal na Chelsea zaambulia patupu Uefa

Kilabu za Uingereza ziliendelea kuandikisha matokeo mabaya Ligi ya Kilabu Bingwa Ulaya baada ya Arsenal na Chelsea kushindwa kwenye mechi zao Jumanne usiku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kenya na Tanzania zaambulia patupu

Zimeshindwa kufanya vizuri katika michuano ya kufuzu kombe la taifa bingwa Afrika mwaka 2015

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yafuzu UEFA 2014

Asernal yafuzu kucheza fainali za kombe la UEFA kwa msimu wa 17 mfululizo, yaifunga Besiktas 1-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal hoi dhidi ya Monaco UEFA

Matumaini ya Arsenal kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano Klabu Bingwa Ulaya imeingia nyongo baada ya kubali kipigo kutoka kwa Monaco ya Ufaransa cha 3 - 1.

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaua, Liverpool hoi UEFA

Arsenal usiku wa kuamkia Alhamis ilishinda mabao 4 - 1 dhidi ya Galatasaray huku Liverpool ikifungwa goli 1- 0 na FC Basel.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaua , Arsenal yachapwa Uefa

Liverpool imeanza vizuri kwa kuifunga Ludogorets Razgrad 2 -1 huku Arsenal wakichapwa 2 - 0 Borussia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal, Bayern kundi moja UEFA

Arsenal kwa mara ya tatu katika misimu minne, itavaana na Bayern Munich baada ya kupangwa kundi moja katika michuano ya klabu bingwa Ulaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea na Atletico sare tasa UEFA

Chelsea walilinda lango leo na kuhakikisha kuwa Atletico Madrid hawapenyi, hatua ambayo ilihakikisha wanajikuta Sare ugenini. .

 

10 years ago

BBCSwahili

Beyern, Barcelona, Chelsea zashinda UEFA

Timu za Barcelona na Chelsea na Bayern Munich jana zilishinda katika mechi zao za klabu Bingwa barani Ulaya ziilizochezwa usiku wa kuamkia leo.

 

11 years ago

StarTV

UEFA, Arsenal yaua huku Liverpool ikichapwa.

Mechi za klabu bingwa barani Ulaya iliendelea usiku wa kuamkia Alhamis wakati timu kadhaa ziliposhuka dimbani.

 
Vijana wa mzee Wenger, Arsenal, ulikuwa usiku wao baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Galatasaray ya Uturuki, huku mchezaji mpya wa timu hiyo Danny ‘Electric’ Welbeck akiondoka na mpira baada ya kuzifumania nyavu za wapinzani wao mara tatu, moja likifungwa na Allexis Sanchez.

 
Katika mchezo huo Arsenal walimaliza pungufu baada ya kipa wao Wojciech Szczeny kutolewa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani