LOWASSA AJIANDIKISHA KWENYE BVR KIJIJINI KWAKE MONDULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-e_BmTbOo3aI/VadSGyAtWCI/AAAAAAAAWE8/t7MzIO5oCnk/s72-c/_bvr.jpg)
Waziri mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli aliyemaliza muda wake akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura BVR kijijini kwake Ngarash Monduli jana Jumatano. Uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s72-c/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
JK ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga leo, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMZ1yTqjSCybQkv*VbKRBp3tZ8I9CY1sg1R5Q-OD7-rCalB-vkjPOIeTMaJu7-zZgtU6gy86AKX33MvmQOAadHo/22.jpg?width=650)
JK AJIANDIKISHA KUPIGA KURA KWA KUTUMIA BVR KIJIJINI MSOGA JANA, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga
![](http://1.bp.blogspot.com/-fqx6KUK-GfE/VZvay-k9RdI/AAAAAAAHnkk/mdbvjlqUoUY/s640/unnamed%2B%252884%2529.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pSNrhvcekYU/VZvardPvU5I/AAAAAAAHnkI/feqVw7MiFDs/s1600/unnamed%2B%252885%2529.jpg)
Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Th4ut6nVkKk/VhPwJhMj2MI/AAAAAAABWus/6PEAsqBoba0/s72-c/OTH_1694.jpg)
LOWASSA AHANI MSIBA WA MZEE KISUMO, KIJIJINI KWAKE USANGI, MKOANI KILIMANJARO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Th4ut6nVkKk/VhPwJhMj2MI/AAAAAAABWus/6PEAsqBoba0/s640/OTH_1694.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BzCY8KxtCNQ/VhPwKtJdrYI/AAAAAAABWu8/guDHfb4YFMI/s640/Lowassa%2Bmakaburini%2B2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lnes5xMfD5g/VhPwMrUv9wI/AAAAAAABWvI/E-BkovB6MI4/s640/Lowassa%2Bmakaburini.jpg)
10 years ago
Mtanzania27 May
Pinda ajiandikisha kijiji kwake Katavi
Na Mwandishi Wetu, Mpanda
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda amewataka Watanzania watumie fursa ya uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kujiandikisha waweze kushiriki uchaguzi mkuu ujao Oktoba 25 mwaka huu.
Hayo aliyasema jana baada ya kujiandikisha kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata katika Kijiji cha Kibaoni wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi.
“Ninawasihi Watanzania wote tusiache kutumia fursa hii… kila mtu ahakikishe anajiandikisha. Ni fursa pekee itakayohakikisha kila mwananchi anashiriki uchaguzi wa...
10 years ago
MichuziMBUNGE MBATIA AJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA WAPIGA KURA KIJIJINI KWAO KWAMARE JIMBONI VUNJO
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
GPLMH. MIZENGO PINDA AJIANDIKISHA BVR DAFTARI LA WAPIGA KURA