Pinda ajiandikisha kijiji kwake Katavi
Na Mwandishi Wetu, Mpanda
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda amewataka Watanzania watumie fursa ya uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kujiandikisha waweze kushiriki uchaguzi mkuu ujao Oktoba 25 mwaka huu.
Hayo aliyasema jana baada ya kujiandikisha kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata katika Kijiji cha Kibaoni wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi.
“Ninawasihi Watanzania wote tusiache kutumia fursa hii… kila mtu ahakikishe anajiandikisha. Ni fursa pekee itakayohakikisha kila mwananchi anashiriki uchaguzi wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-e_BmTbOo3aI/VadSGyAtWCI/AAAAAAAAWE8/t7MzIO5oCnk/s72-c/_bvr.jpg)
LOWASSA AJIANDIKISHA KWENYE BVR KIJIJINI KWAKE MONDULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-e_BmTbOo3aI/VadSGyAtWCI/AAAAAAAAWE8/t7MzIO5oCnk/s640/_bvr.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xJVIeMy5hxM/VadSWJswrTI/AAAAAAAAWFE/Qmso0OuT18Q/s640/el_bvr2.jpg)
10 years ago
MichuziMH. PINDA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA
10 years ago
Vijimambo26 May
PINDA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA
![nd1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/nd1.jpg)
![nd2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/nd2.jpg)
10 years ago
GPLMH. MIZENGO PINDA AJIANDIKISHA BVR DAFTARI LA WAPIGA KURA
10 years ago
Habarileo17 Jun
9,141 wa Katavi wamdhamini Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ambaye pia ametangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amepata wadhamini 9,141 baada ya kuhitimisha zoezi hilo katika mkoa wa Katavi.
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
PINDA akiwa safarini kuelekea Katavi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jaqueline Liana kwenye Ikulu ndogo ya Tabora alipopata mapumziko akiwa njiani kuelekea Katavi Oktoba 2, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Dewji Blog16 Jul
Pinda apokea taarifa ya mkoa wa Katavi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Pinda ataka migogoro imalizwe Katavi
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-_13LfiA0Em0/VhKyIJznpZI/AAAAAAAAaao/-z6TM6l8jtI/s72-c/IMGS5660.jpg)
PINDA AKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA NHC KATAVI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_13LfiA0Em0/VhKyIJznpZI/AAAAAAAAaao/-z6TM6l8jtI/s640/IMGS5660.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vkkyTT8UhwM/VhKyJJ0MxcI/AAAAAAAAaas/NEKqFky46Ak/s640/IMGS5445.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--2eU1GRxqlk/VhKyK_F1qRI/AAAAAAAAaa4/neXOGEYIxfw/s640/IMGS5512.jpg)