Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda ajiandikisha kijiji kwake Katavi

prime-ministerNa Mwandishi Wetu, Mpanda
WAZIRI MKUU, Mizengo Pinda amewataka Watanzania watumie fursa ya uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa kujiandikisha waweze kushiriki uchaguzi mkuu ujao Oktoba 25 mwaka huu.
Hayo aliyasema jana baada ya kujiandikisha kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata katika Kijiji cha Kibaoni wilayani Mpanda, Mkoa wa Katavi.
“Ninawasihi Watanzania wote tusiache kutumia fursa hii… kila mtu ahakikishe anajiandikisha. Ni fursa pekee itakayohakikisha kila mwananchi anashiriki uchaguzi wa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LOWASSA AJIANDIKISHA KWENYE BVR KIJIJINI KWAKE MONDULI

Waziri mkuu wa zamani Mh. Edward Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli aliyemaliza muda wake akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura BVR kijijini kwake Ngarash Monduli jana Jumatano. Uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijiandikisha katika kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlele Mei 25, 2015. Kushoto ni Mwandikishaji wapiga kura, Auxilia Gaspar. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionyesho kitambulisho chake cha mpiga kura baada ya kujiandikisha katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlelele Machi 25,2015. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Dkt Ibrahim Msengi na Kushoyo ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya...

 

10 years ago

Vijimambo

PINDA AJIANDIKISHA DAFTARI LA WAPIGA KURA

nd1Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijiiandikisha katika kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni iwilayani Mlele Mei 25, 2015. Kushoto ni Mwandikishaji wapiga kura, Auxilia Gaspar.nd2Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionyesho kitambulisho chake cha mpiga kura baada ya kujiandikisha katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni i wilayani Mlelele Machi 25,2015. .Kulia ni Mkuu wa mkoa wa katavi, Dkt Ibrahim Msengi na Kushoyo ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya...

 

10 years ago

GPL

MH. MIZENGO PINDA AJIANDIKISHA BVR DAFTARI LA WAPIGA KURA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kibaoni wilayani Mlele Mei 25, 2015. Kushoto ni Mwandikishaji wapiga kura, Auxilia Gaspar.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akionyesho kitambulisho chake cha mpiga kura baada ya kujiandikisha katika. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Dkt Ibrahim Msengi na Kushoyo ni Mkurugenzi wa Tume ya...

 

10 years ago

Habarileo

9,141 wa Katavi wamdhamini Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ambaye pia ametangaza nia ya kuwania urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amepata wadhamini 9,141 baada ya kuhitimisha zoezi hilo katika mkoa wa Katavi.

 

9 years ago

Dewji Blog

PINDA akiwa safarini kuelekea Katavi

IMGS4856

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jaqueline Liana  kwenye Ikulu ndogo ya Tabora alipopata mapumziko akiwa njiani kuelekea Katavi Oktoba 2, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda apokea taarifa ya mkoa wa Katavi

IMGL6122

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi  Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

10 years ago

Mwananchi

Pinda ataka migogoro imalizwe Katavi

Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Katavi kutatua tatizo lililopo la mgogoro wa Kitongoji cha Mnyamasi kulifanya kuwa eneo la uwekezaji lipatiwe ufumbuzi ndani ya miezi mitatu.

 

9 years ago

Vijimambo

PINDA AKAGUA UJENZI WA NYUMBA ZA NHC KATAVI

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba za walimu katika Shule ya msingi ya kakuni unaofanywa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) katika kijiji cha kibaoni mkoani Katavi Septemba 5, 2015. Kushoto ni Mkuu wa mkoa huo Dkt. Ibrahim Msengi na kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Askofu wa Jimbo katoliki la Mpanda, Gervas Nyaisonga kwenye Makazi ya Askofu huyo mjini Mpanda Septemba 5, 2015.Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimsikiliza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani