Lowassa aongoza wananchi mazishi ya Makadi
Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa jana aliongoza mamia ya wananchi katika mazishi ya aliyekuwa mwenyekiti mwenza wa umoja huo, Dk Emmanuel Makaidi huku baadhi ya viongozi wenzake wakisisitiza kuibuka na ushindi katika Uchaguzi Mkuu jumapili ijayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hNASja-In2k/VXM4QqUXjZI/AAAAAAAHcjs/4ULuWbjPkXw/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
DKT. BILAL AONGOZA WANANCHI KWENYE MAZISHI YA MBUNGE WA JIMBO LA UKONGA MAREHEMU EUGENE MWAIPOSA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hNASja-In2k/VXM4QqUXjZI/AAAAAAAHcjs/4ULuWbjPkXw/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ch86ifrPdM8/VXM4Q0qECfI/AAAAAAAHcjw/nxYc-Cyn_qY/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
LOWASSA Aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho za marehemu Dkt.Emmauel John Makaidi aliyekuwa Mwenyekiti chama cha NLD
Mh.Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho katika geneza liloweka mwili wa Shujaa wa Mabadiliko Dkt.Emmanuel Mkaidi katika viwanja vya karimjee jijini Dar -es- Salaam leo Oct 20,2015.
Mke wa Mh.Edward Lowassa Mma Regina akisalimi na mjane wa Dkt Mkaidi katika msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Dkt. Emmanuel Makaidi katika viwanja vya karimjee Oct 20,2015.
Mh.Mmbowe Mwenyekiti wa Chadema wakisalimiana na katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa mara baada ya kutoa heshma za mwisho wa pili...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
JK aongoza mazishi ya Mzee Small
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Ghasia aongoza mazishi ya DC Chang’a
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Rais Kikwete aongoza mazishi ya mbunge
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza mamia ya wakazi wa Chalinze, Pwani kwenye mazishi ya mbunge wao, Said Bwanamdogo, aliyezikwa kwenye Kata ya Mioni, Bagamoyo. Bwanamdogo alifariki dunia Januari 22 mwaka huu...
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
JK aongoza mazishi ya Meja Jenerali Kimario
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza maelfu ya wakazi wa mji wa Moshi na mikoa ya jirani katika mazishi ya Meja Jenerali mstaafu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Muhidin Mfaume Kimario...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Rais Kikwete aongoza mazishi ya Liundi
RAIS Jakaya Kikwete amewaongoza waombolezaji wakiwemo mawaziri na viongozi mbalimbali wa serikali na wa kidini kutoa heshima zao za mwisho kwa aliyekuwa Msajili wa kwanza wa Vyama vya Siasa nchini,...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Waziri Kombani azikwa, Pinda aongoza mazishi
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aongoza mazishi ya Kapteni Komba