Lowassa: Mambo yatakuwa bambam
*Kingunge asema yeye ni babu wa vijana Tanzania
NA FREDY AZZAH, BIHARAMLO
MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema Serikali atakayoiunda baada ya kuingia madarakani mambo yake yatakuwa mazuri.
Lowassa ambaye anaungwa mkono na vyama vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), aliyasema hayo jana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika viwanja vya soko jipya mjini Biharamulo, Mkoa wa Kagera.
“Naomba kura hata kama wewe ni CCM,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5u*9XtYcBlRs3VNYJJpJjK8WlLUxGBl-BU5eileshCqPr3lj10U1Vy1rBmM4nijM2i184vYl0KIMrGGwRCrzMk/FRONTUWAZI.gif?width=650)
MAMBO 5 YALIYOMPONZA LOWASSA
10 years ago
Vijimambo14 Jul
MAMBO 5 YALIYOMPONZ LOWASSA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/B1-1024x720.jpg)
TAYARI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza Waziri wa Ujenzi, John Pombe Joseph Magufuli kuwa mgombea urais mwaka huu huku Samia Suluhu Hassan akiwa mgombea mwenza, lakini bado jina la mgombea aliyekatwa, Edward Lowassa linazungumzika, safari hii yakibainishwa mambo matano yanayoolezwa ndiyo yalichangia kukatwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-gJiCE87YYqeOn2I5vHdrbvhiWyGT6kSvx-tF8QS8W2q-BmTCYVuwMfny-o-wv8MyemEscFT*wz6dY52bl*Qi3WKOEvl20-K/Lowassa.jpg?width=650)
MAMBO 5 LOWASSA AKIANGUKA
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA MAVUNO YA MAZAO YATAKUWA YA KUTOSHA
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko
10 years ago
CloudsFM29 Jun
Manji Atangaza Kuwa Atajiuzulu yanga iwapo Aliyosema Mengi yatakuwa ni Kweli
![](http://3.bp.blogspot.com/-UQlJVQnQnww/VZDv23hEWII/AAAAAAAAwm4/iMUXfRZK3Uc/s640/SAM_1702.jpg)
Manji amezungumza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya Yanga, jana na kueleza hayo huku akisisitiza kumtaka Mengi ajitokeze na wakutane kwa ajili ya kufanya mdahalo wa wazi ambao utadhibitisha kuhusiana na tuhuma hizo.
Alisema kuendelea...
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Lowassa: Kwa siku 100 nitafanya mambo 13
9 years ago
Mwananchi26 Aug
MCHANGO WA MAWAZO : Lowassa ni yuleyule na mambo ni yaleyale
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gYxGligqRT2HP-bTdZvAblvTk8*E7uLXXRQKK3ne5vOBmFVM-WEsWqbcbhO70LzzegbNvdxNZ0xdKPCJxinWhfMJNOaWVmus/unnamed12.jpg?width=650)
MH. LOWASSA AMTEMBELEA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI WA ZAMANI, MH. ALI AMEIR MOHAMED