Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Kwa siku 100 nitafanya mambo 13

Mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo 13 atakayoyafanya ndani ya siku 100 iwapo atachaguliwa kuwa Rais, huku akisema “atawakata kilimilimi” wanaombeza kuwa hawezi kuondoa umaskini wa wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Pinda: Umaskini hauwezi kuondolewa kwa siku 100

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewabeza wanaosema umaskini wa Watanzania unaweza kuondolewa ndani ya siku 100.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa atoa siku saba kwa H/Monduli

Monduli. Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameipa wiki moja Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kuzipatia ardhi kaya 63 za Kijiji cha Nanja, ambazo zimetakiwa kupisha eneo la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wilayani hapa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Siku 100 za mauaji ya Rwanda

Kwa nini mume alimuua mke, jirani akamuua jirani na mamia ya wanawake kufanywa watumwa wa ngono Rwanda?

 

9 years ago

BBCSwahili

Siku 100, Rais Buhari amefanikiwa?

Rais wa Nigeria,Muhammadu Buhari aliahidi kumaliza changamoto ya ugaidi na vitendo vya rushwa nchini mwake

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO 5 YALIYOMPONZ LOWASSA

Waziri Mkuu wa zamani na aliyekuwa mtangaza nia ya kugombea urais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania, Edward Lowassa akipokea fomu zilizosainiwa na wadhamini wake.
TAYARI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza Waziri wa Ujenzi, John Pombe Joseph Magufuli kuwa mgombea urais mwaka huu huku Samia Suluhu Hassan akiwa mgombea mwenza, lakini bado jina la mgombea aliyekatwa, Edward Lowassa linazungumzika, safari hii yakibainishwa mambo matano yanayoolezwa ndiyo yalichangia kukatwa...

 

9 years ago

GPL

MAMBO 5 LOWASSA AKIANGUKA

Na Mwandishi Wetu
WAKATI siku 32 zikiwa mbele kuufikia uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu, tegemeo kuu la mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ni kutokea kwa mambo matano endapo ataanguka kwenye kinyang’anyiro hicho, Uwazi limechimba.  Mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa. Kwa...

 

10 years ago

GPL

MAMBO 5 YALIYOMPONZA LOWASSA

TAYARI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza Waziri wa Ujenzi, John Pombe Joseph Magufuli kuwa mgombea urais mwaka huu huku Samia Suluhu Hassan akiwa mgombea mwenza, lakini bado jina la mgombea aliyekatwa, Edward Lowassa linazungumzika, safari hii yakibainishwa mambo matano yanayoolezwa ndiyo yalichangia kukatwa kwake. Soma zaidi hapa ===>http://bit.ly/1M37BXl ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ni siku 100 tangu tetemeko litokee Nepal

Maelfu ya watu nchini Nepal bado wanaishi katika makao ya muda siku mia moja baada ya tetemeko kubwa kuikumba nchi hiyo

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko

Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani