Lowassa: Kwa siku 100 nitafanya mambo 13
Mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo 13 atakayoyafanya ndani ya siku 100 iwapo atachaguliwa kuwa Rais, huku akisema “atawakata kilimilimi†wanaombeza kuwa hawezi kuondoa umaskini wa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Pinda: Umaskini hauwezi kuondolewa kwa siku 100
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewabeza wanaosema umaskini wa Watanzania unaweza kuondolewa ndani ya siku 100.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Lowassa atoa siku saba kwa H/Monduli
Monduli. Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameipa wiki moja Halmashauri ya Wilaya ya Monduli kuzipatia ardhi kaya 63 za Kijiji cha Nanja, ambazo zimetakiwa kupisha eneo la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wilayani hapa.
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Siku 100 za mauaji ya Rwanda
Kwa nini mume alimuua mke, jirani akamuua jirani na mamia ya wanawake kufanywa watumwa wa ngono Rwanda?
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Siku 100, Rais Buhari amefanikiwa?
Rais wa Nigeria,Muhammadu Buhari aliahidi kumaliza changamoto ya ugaidi na vitendo vya rushwa nchini mwake
10 years ago
Vijimambo14 Jul
MAMBO 5 YALIYOMPONZ LOWASSA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/B1-1024x720.jpg)
TAYARI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza Waziri wa Ujenzi, John Pombe Joseph Magufuli kuwa mgombea urais mwaka huu huku Samia Suluhu Hassan akiwa mgombea mwenza, lakini bado jina la mgombea aliyekatwa, Edward Lowassa linazungumzika, safari hii yakibainishwa mambo matano yanayoolezwa ndiyo yalichangia kukatwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-gJiCE87YYqeOn2I5vHdrbvhiWyGT6kSvx-tF8QS8W2q-BmTCYVuwMfny-o-wv8MyemEscFT*wz6dY52bl*Qi3WKOEvl20-K/Lowassa.jpg?width=650)
MAMBO 5 LOWASSA AKIANGUKA
Na Mwandishi Wetu
WAKATI siku 32 zikiwa mbele kuufikia uchaguzi mkuu Oktoba 25, mwaka huu, tegemeo kuu la mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ni kutokea kwa mambo matano endapo ataanguka kwenye kinyang’anyiro hicho, Uwazi limechimba.  Mgombea urais wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa. Kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR5u*9XtYcBlRs3VNYJJpJjK8WlLUxGBl-BU5eileshCqPr3lj10U1Vy1rBmM4nijM2i184vYl0KIMrGGwRCrzMk/FRONTUWAZI.gif?width=650)
MAMBO 5 YALIYOMPONZA LOWASSA
TAYARI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza Waziri wa Ujenzi, John Pombe Joseph Magufuli kuwa mgombea urais mwaka huu huku Samia Suluhu Hassan akiwa mgombea mwenza, lakini bado jina la mgombea aliyekatwa, Edward Lowassa linazungumzika, safari hii yakibainishwa mambo matano yanayoolezwa ndiyo yalichangia kukatwa kwake. Soma zaidi hapa ===>http://bit.ly/1M37BXl ...
10 years ago
BBCSwahili02 Aug
Ni siku 100 tangu tetemeko litokee Nepal
Maelfu ya watu nchini Nepal bado wanaishi katika makao ya muda siku mia moja baada ya tetemeko kubwa kuikumba nchi hiyo
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Lowassa: Mambo manne ya mabadiliko
Mgombea urais wa Chadema, anayeungwa mkono na Ukawa, Edward Lowassa ametaja mambo manne atakayoshughulikia endapo wananchi watamchagua kuongoza Taifa akisema mambo hayo ndiyo msingi wa mabadiliko.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania