Pinda: Umaskini hauwezi kuondolewa kwa siku 100
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amewabeza wanaosema umaskini wa Watanzania unaweza kuondolewa ndani ya siku 100.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
Simbachawene atoa siku tano kuondolewa kwa  Uchafu Uliokusanywa Dodoma
Waziri wa ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora Mheshimiwa George Simbachawene ametoa siku 5 kwa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wote kuhakikisha uchafu uliokusanywa siku ya uhuru tarehe 9 Decemba mwaka huu wakati wa kufanya usafi unaondolewa mara moja.
Pamoja na hilo amewataka viongozi hao kuwasilisha mikakati yao ya haraka ya kuhakikisha mfumo wa kufanya usafi katika miji yao unaendelea.
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. John Pombe Magufuli...
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Lowassa: Kwa siku 100 nitafanya mambo 13
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Wanawake chachu kuondoa umaskini-Mizengo Pinda
10 years ago
StarTV03 Feb
Wachimbaji Geita watakiwa kuondolewa ndani ya siku saba
Na Salma Mrisho,
Geita.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa ametoa siku saba kwa ofisi ya madini mkoani humo kuhakikisha wachimbaji wadogo waliovamia na kufanya shughuli zao katika vyanzo vya maji wanahamishwa mara moja.
Mkuu wa Mkoa ameeleza kuishangaa ofisi ya madini kwa kushindwa kutimiza wajibu wake na kuwaacha wachimbaji hao wakizidi kuharibu vyanzo vya maji vinavyohatarisha afya ya watumiaji wa maji kutokana na matumizi ya zebaki wanayotumia katika uchenjuaji wa...
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Waziri atoa siku 14 bidhaa feki kuondolewa sokoni
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Pinda awasili Tanga kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Chiku Gallawa. (Picha na Ofisi ya Waziri...
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Siku 100 za mauaji ya Rwanda
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Siku 100, Rais Buhari amefanikiwa?