Waziri atoa siku 14 bidhaa feki kuondolewa sokoni
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Abdallah Kigoda amevipa siku 14 viwanda vinavyozalisha bidhaa zilizo chini ya kiwango kuziondoa sokoni sambamba na kuujulisha umma namna watakavyoziharibu na kuziteketeza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
Simbachawene atoa siku tano kuondolewa kwa  Uchafu Uliokusanywa Dodoma
Waziri wa ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora Mheshimiwa George Simbachawene ametoa siku 5 kwa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi wote kuhakikisha uchafu uliokusanywa siku ya uhuru tarehe 9 Decemba mwaka huu wakati wa kufanya usafi unaondolewa mara moja.
Pamoja na hilo amewataka viongozi hao kuwasilisha mikakati yao ya haraka ya kuhakikisha mfumo wa kufanya usafi katika miji yao unaendelea.
Hivi karibuni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. John Pombe Magufuli...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Naibu waziri atoa siku 14 kwa TRA
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Waruhusiwa kuingiza bidhaa sokoni
9 years ago
StarTV29 Dec
Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa siku saba kwa shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.
Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya ukosefu wa umeme...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Foqz65KoPzQ/VonKhaqfOjI/AAAAAAAIQFo/IONLp1wGUE8/s72-c/38408933-e546-44d0-8ffd-4d6754b44f2b.jpg)
WAZIRI MBARAWA ATOA SIKU TATU UKARABATI RELI YA KATI
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Bidhaa feki kudhibitiwa
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Krismasi yaanza kubadili bei za bidhaa sokoni
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Bidhaa feki zamiminika Zanzibar
9 years ago
Bongo Movies18 Dec
Filamu Ya ‘Chungu Cha Tatu’ Yamalizika Sokoni , Wauza Feki Mbaroni
![JB](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb34.jpg)
JB
Kopi za filamu mpya ya JB na Wema Sepetu, ‘Chungu Cha Tatu’ zilizoingia sokoni Jumatatu hii zimemalizika ikiwa ni siku tatu toka iachiwe.
Akizungumza na Bongo5 Alhamis hii, JB alisema kasi ya mauzo ya filamu hiyo, ina kila dalili ya kuvunja rekodi ya filamu yake iliyopita Mzee wa Swagga.
“Filamu inaenda vizuri sana, Jumatatu baada ya kuingia sokoni masaa manne kopi zilizoingia sokoni ziliisha, Jumanne tukazalisha tena zikaisha, leo hii tumezalisha nyingine nyingi kwa sababu hata mikoani...