Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Tukimbizane na kasi ya maendeleo

>Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema umefika wakati kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto kubwa ya maendeleo ya sayansi duniani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ruvuma wamkuna Rais kasi ya maendeleo

RAIS alisema kuna kasi nzuri ya maendeleo katika mkoa wa Ruvuma na ameridhishwa na jitihada za halmashauri za miji, halmashauri za wilaya na manispaa.

 

9 years ago

Mwananchi

Maji yanavyowavuruga wananchi, kuwapunguzia kasi ya maendeleo

Wahenga wanasema kuwa, ‘Maji ni uhai!’ Huku wengine wakitumia usemi wa Kiingereza: ‘No water no Life.’ Hii inamaanisha pasipo na maji hakuna uhai. Inapotokea watu kuishi eneo lenye ukosefu wa maji ni lazima watatumia mbinu zote kuhakikisha wanayatafuta na kuhifadhi nyumbani kwa matumizi ya kila siku.

 

10 years ago

Habarileo

Kijiji cha Milenia chakoleza kasi ya maendeleo Uyui

WANANCHI wanaoishi katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora wameanza kunufaika na Mradi wa Kijiji cha Milenia unaotekelezwa katika kijiji cha Mbola kilichoko wilayani humo.

 

9 years ago

StarTV

Dk. Shein awataka watendaji kuwajibika ili Kuendana na Kasi Ya Maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein  amewataka wasimamizi wa sheria  na wote waliopewa dhamana ya utekelezaji wa majukumu ya Umma wawajibike katika dhamana walizopewa ili kwenda na kasi ya maendeleo  yalioasisiwa Tangu yalipofanyika mapinduzi ya Zanzibar January 1964.

Amesema maeneo mengi ya kiutendaji huzorota kwa kutokuwajibika ipasavyo kwa baadhi ya watendaji ambao bado wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea ambapo muda huo kwa sasa haupo na...

 

11 years ago

Michuzi

SHULE YA JAMII YA WAMAASAI WILAYANI HAI YAPIGA MAENDELEO YA KASI

 Siku maalumu ya shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza kwa watoto wa jamii ya Kimaasai iliyopo katika kijiji cha Sanya Stesheni wilayani Hai ya The O'Brien School for the Maasai.  Pichani Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akihutubia wazazi,wanafunzi na wageni waalikwa katika siku ya shule ya The O'Brien School for the Maasai.  Sehemu ya wageni kutoka nchini Marekani waliohudhuria sherehe za siku ya shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza ya O'Brien ya Hai  Diwani wa kata ya...

 

9 years ago

Michuzi

UDHAIFU WA USIMAMIZI WA MIRADI MBALIMBALI NI CHANGAMOTO KATIKA KULETA KASI YA MAENDELEO NDANI YA JAMII

Tanzania ya leo, imepitia mabadiliko mengi yanayogusa kila sekta tangu ilipojikomboa na kuwa nchi huru baada miaka 53 ya utawala wa kikoloni. Kwa mfano, katika kipindi hicho hadi sasa, nchi imeshuhudia kuimarika kwa huduma mbalimbali za kijamii. Kwa uchache, huduma hizi ni pamoja na afya, elimu, demokrasia, utalii, viwanda na miundombinu mbalimbali. 
 Katika sekta ya elimu, ongezeko kubwa la shule kuanzia ngazi ya awali hadi chuo kikuu limeshuhudiwa. Hii ni moja ya hatua kubwa kuwahi kufikiwa...

 

5 years ago

Michuzi

JUKWAA LA WALIMU WAZALENDO TANZANIA WAFURAHISHWA NA KASI YA UKUAJI WA MAENDELEO NCHINI CHINI YA RAIS DK.MAGUFULI

 Katibu Mkuu wa Jukwaa la Walimu Wazalendo Tanzania Anuary Mgonde(katikati) akizungumza leo Juni 11,2020 jijini Dar es Salaam kuhusu jukwaa hilo kumpongeza Rais Dk.John Magufuli alivyosimama imara katika mapambano dhidi ya Corona.Pia Jukwaa hilo limetoa tamko la kuendelea kumuunga mkono Rais Magufuli ikiwa pamoja na kuhakikisha anashinda kwa kishindo kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu.Wengine ni Mwenyekiti wa Jukwaa hilo Mkoa wa Kilamanjaro George Madaraka (kushoto) na Mwenyekiti wa jukwaa hilo...

 

11 years ago

Michuzi

DIWANI WA TLP LUPINGU ASEMA YEYE SI MPINZANI ,AMFAGILIA MBUNGE FILIKUNJOMBE KWA KASI YA MAENDELEO


Na  Francis Godwin Blog.

DIWANI  wa  chama   cha Tanzania Labour Party (TLP) kata ya  Lupingu  wilaya ya  Ludewa mkoani  Njombe  John Kiowi amempongeza  mbunge wa  jimbo la Ludewa  Deo Filikunjombe kwa jitihada zake   anazozifanya katika  kuwapelekea maendeleo wananchi wa Ludewa  huku akiwashangaa   wapinzani wanaopinga  jitihada  mbali mbali  zinazofanywa na serikali ya  chama  cha Mapinduzi (CCM) na  kudai  kuwa  yeye  si mpinzani wa uchwara wa  kupinga  maendeleo .
Akizungumza   na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani