Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ruvuma wamkuna Rais kasi ya maendeleo

RAIS alisema kuna kasi nzuri ya maendeleo katika mkoa wa Ruvuma na ameridhishwa na jitihada za halmashauri za miji, halmashauri za wilaya na manispaa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

JUKWAA LA WALIMU WAZALENDO TANZANIA WAFURAHISHWA NA KASI YA UKUAJI WA MAENDELEO NCHINI CHINI YA RAIS DK.MAGUFULI

 Katibu Mkuu wa Jukwaa la Walimu Wazalendo Tanzania Anuary Mgonde(katikati) akizungumza leo Juni 11,2020 jijini Dar es Salaam kuhusu jukwaa hilo kumpongeza Rais Dk.John Magufuli alivyosimama imara katika mapambano dhidi ya Corona.Pia Jukwaa hilo limetoa tamko la kuendelea kumuunga mkono Rais Magufuli ikiwa pamoja na kuhakikisha anashinda kwa kishindo kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu.Wengine ni Mwenyekiti wa Jukwaa hilo Mkoa wa Kilamanjaro George Madaraka (kushoto) na Mwenyekiti wa jukwaa hilo...

 

9 years ago

Habarileo

Ruvuma kupokea maendeleo makubwa

RAIS Jakaya Kikwete amewataka wananchi mkoani Ruvuma kujiandaa kupokea maendeleo makubwa katika mkoa wao baada ya kuanza kwa shughuli ya uchimbaji madini ya urani yaliyogundulika kwa wingi katika mto Mkuju uliopo kwenye Pori la Akiba la Selous wilayani Namtumbo.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA WA MKOA WA RUVUMA

SAFARI: Wataalamu Kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakielekea kukagua mradi wa kilimo cha Karafuu wa kikundi cha ujasiriamali cha ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema Kata ya Mkongotema Tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea Jimbo la Peramiho uliopo umbali wa Kilometa 106 kutoka Ruvuma mjini. Timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Habari wakielekea kukagua mradi wa kilimo cha Karafuu cha kikundi cha ujasiriamali cha Ushindi uliopo katika kijiji cha Mkongotema...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO YAKAGUA MADARAJA LUHEKEI MKOANI RUVUMA

Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akizungumza na timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake. Meneja wa wakala wa barabara (TANROADS) mkoani Ruvuma, Mhandisi Abraham Kissimbo akitoa maelekezo kwa timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ilipofika ofisini kwake. Timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango ikijionea...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa: Tukimbizane na kasi ya maendeleo

>Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli, Edward Lowassa amesema umefika wakati kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto kubwa ya maendeleo ya sayansi duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

Maji yanavyowavuruga wananchi, kuwapunguzia kasi ya maendeleo

Wahenga wanasema kuwa, ‘Maji ni uhai!’ Huku wengine wakitumia usemi wa Kiingereza: ‘No water no Life.’ Hii inamaanisha pasipo na maji hakuna uhai. Inapotokea watu kuishi eneo lenye ukosefu wa maji ni lazima watatumia mbinu zote kuhakikisha wanayatafuta na kuhifadhi nyumbani kwa matumizi ya kila siku.

 

10 years ago

Habarileo

Kijiji cha Milenia chakoleza kasi ya maendeleo Uyui

WANANCHI wanaoishi katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora wameanza kunufaika na Mradi wa Kijiji cha Milenia unaotekelezwa katika kijiji cha Mbola kilichoko wilayani humo.

 

9 years ago

StarTV

Dk. Shein awataka watendaji kuwajibika ili Kuendana na Kasi Ya Maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein  amewataka wasimamizi wa sheria  na wote waliopewa dhamana ya utekelezaji wa majukumu ya Umma wawajibike katika dhamana walizopewa ili kwenda na kasi ya maendeleo  yalioasisiwa Tangu yalipofanyika mapinduzi ya Zanzibar January 1964.

Amesema maeneo mengi ya kiutendaji huzorota kwa kutokuwajibika ipasavyo kwa baadhi ya watendaji ambao bado wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea ambapo muda huo kwa sasa haupo na...

 

11 years ago

Michuzi

SHULE YA JAMII YA WAMAASAI WILAYANI HAI YAPIGA MAENDELEO YA KASI

 Siku maalumu ya shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza kwa watoto wa jamii ya Kimaasai iliyopo katika kijiji cha Sanya Stesheni wilayani Hai ya The O'Brien School for the Maasai.  Pichani Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akihutubia wazazi,wanafunzi na wageni waalikwa katika siku ya shule ya The O'Brien School for the Maasai.  Sehemu ya wageni kutoka nchini Marekani waliohudhuria sherehe za siku ya shule ya msingi ya mchepuo wa kiingereza ya O'Brien ya Hai  Diwani wa kata ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani