Luis Figo,Christian Karembeu na Fernando Sanz Duran waahidi kutoa burudani safi kwa watanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-tlvws-mKeQc/U_cU6VyygVI/AAAAAAAGBU8/um1Et2ecNtk/s72-c/MMGM2641.jpg)
Mratibu wa Ziara ya Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Real Madrid,Ssebo (wa tatu kushoto) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya mechi ya kirafiki kati ya Tanzania Eleven na Timu ya Wachezaji wa Zamani wa Real Madrid kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kesho.Mpaka sasa ni wachezaji watatu tu ndio waliowasili nchini huku wengine kadhaa wakitegemewa kuwasili mchana wa leo.Wachezahi hao ambao wapo nchini hivi sasa ni Luis Figo (wa tatu kulia),Christian Karembeu (kulia)...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-tlvws-mKeQc/U_cU6VyygVI/AAAAAAAGBU8/um1Et2ecNtk/s1600/MMGM2641.jpg)
LUIS FIGO, CHRISTIAN KAREMBEU NA FERNANDO SANZ DURAN WAAHIDI KUTOA BURUDANI SAFI KWA WATANZANIA
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
FAN CITY yajipanga kutoa burudani ya kipekee kwa Watanzania Pasaka
![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s1600/IMG_3966.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa kipindi cha sikukuu ya Pasaka wakati wa mkutano alioufanya katika eneo la Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam. Pia aliongeza kuwa kwa sasa kampuni yake imeeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea.
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled26.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vwf97KRUPFs/U1ADAcfCqpI/AAAAAAAA5DI/dAV2dcz7xp4/s1600/IMG_3849.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIbylWiC6k6L0ujTF3Z4j1aPrWuUBQHeiqpdzV*9RUGt4qV0U-lQ8wAapcGFZXOEM53zoWd2K2*IdsO4cF0uu6U/bella.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s72-c/IMG_3966.jpg)
FUN CITY YAJIPANGA KUTOA BURUDANI YA KIPEKEE KWA WATANZANIA PASAKA: YAFUNGA MITAMBO YA KISASA KWA AJILI YA MICHEZO YA KWENYE MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s1600/IMG_3966.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rZ38zrB2J1s/U0_pzfy4BTI/AAAAAAAA5Bw/QpYsnXaALUc/s1600/IMG_3944.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vwf97KRUPFs/U1ADAcfCqpI/AAAAAAAA5DI/dAV2dcz7xp4/s1600/IMG_3849.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Rebecca Malope awasili nchini tayari kwa kutoa burudani, kuwashika vilivyo watanzania Diamond Jubilee leo
Rebecca Malope Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa JNIA jana jioni tayari kutumbuiza kwenye tamasha la Krismass litakalofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam leo likishirikisha waimbaji mbalimbali wakiwemo wa nchini Tanzania kama vile Rose Muhando, Upendo Nkone, Joshua Mlelwa na wengine wengi, kushoto katika picha anayefurahia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion iliyoandaa na kumleta mwimbaji huyo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s72-c/bella.jpg)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI YA KUFA MTU KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014 PALE MLIMANI CITY
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xw24_e43CY/U_ckxhNxUYI/AAAAAAAGBWM/WtN5oI0nSAE/s1600/bella.jpg)
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la Tanzania Movie...
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Christian Bella kutoa burudani ya kufa mtu katika fainali ya Tanzania Movie Talents (TMT) tarehe 30 August 2014 Mlimani City
Christian Bella
Na Josephat Lukaza
Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT).
Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na kufurahishwa na show atakayoitoa siku hiyo katika Fainali ya Kumkabidhi Mshindi wa Shindano la...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Luis Figo atangaza kuwania urais FIFA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h8PF925u8DE/U_ZaIrU08RI/AAAAAAAGBQc/JSIfk5-UO20/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
luis figo atua bongo usiku huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-h8PF925u8DE/U_ZaIrU08RI/AAAAAAAGBQc/JSIfk5-UO20/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-k0NYdxIbNdg/U_ZaIrcDkOI/AAAAAAAGBQY/WoTDsygsPKw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)