Rebecca Malope awasili nchini tayari kwa kutoa burudani, kuwashika vilivyo watanzania Diamond Jubilee leo
Rebecca Malope Mwimbaji wa muziki wa injili kutoka nchini Afrika ya Kusini akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa JNIA jana jioni tayari kutumbuiza kwenye tamasha la Krismass litakalofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam leo likishirikisha waimbaji mbalimbali wakiwemo wa nchini Tanzania kama vile Rose Muhando, Upendo Nkone, Joshua Mlelwa na wengine wengi, kushoto katika picha anayefurahia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion iliyoandaa na kumleta mwimbaji huyo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a1fa24mfK7c/VnwL_hLjZLI/AAAAAAADEL4/s6RDtJkbLzQ/s72-c/_MG_4580.jpg)
REBECCA MALOPE AWASILI NCHINI TAYARI KWA KUWASHA MOTO TAMASHA LA XMASS DIAMOND JUBILEE KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a1fa24mfK7c/VnwL_hLjZLI/AAAAAAADEL4/s6RDtJkbLzQ/s640/_MG_4580.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7LcWi4BkmZ8/VSBKx4MHmVI/AAAAAAAC2yM/dZyCpDYQ_Vk/s72-c/IMG_0689.jpg)
MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE AWASILI USIKU HUU KUTUMBUIZA KESHO TAMASHA LA PASAKA JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LcWi4BkmZ8/VSBKx4MHmVI/AAAAAAAC2yM/dZyCpDYQ_Vk/s1600/IMG_0689.jpg)
10 years ago
Michuzi14 Feb
BARNABA BOY NA AMINI WATINGA RADIO KASIBANTE 88.5 FM RADIO BUKOBA, TAYARI KWA KUTOA BURUDANI LEO VALENTINE DAY LINA'S NIGHT CLUB
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Baada ya kutikisa nchini Oman, Skylight Band warejea nchini kutoa burudani ya nguvu Ijumaa ya leo
Baada ya Safari ndefu ya nchini Oman ambako Bendi Inayotikisa nchini kwa sasa Skylight Band walitoa Burudani ya Nguvu huko ughaibuni na kuacha historia isiyofutika kirahisi, Sasa Bendi yako imerejea nchini Tanzani. Leo Kama kawaida yetu Skylight Band tutakuwa kiwanja cha nyumbani Thai Village kukuletea burudani ya nguvuuu kabisaaaaa ikiwa na kikosi kamili na masong mapyaaaaa,Usikose Leo kuanzia Sa Tatu Kamilii……
Divas wa Skylight Band walisongesha vya kutosha kutoa burudani ya nguvu...
10 years ago
GPLBAADA YA KUTIKISA NCHINI OMAN, SKYLIGHT BAND WAREJEA NCHINI KUTOA BURUDANI YA NGUVU IJUMAA YA LEO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s72-c/12.jpg)
BAADA YA SHINYANGA,MWANAMUZIKI NYOTA WA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s1600/12.jpg)
11 years ago
Dewji Blog18 Apr
FAN CITY yajipanga kutoa burudani ya kipekee kwa Watanzania Pasaka
![](http://1.bp.blogspot.com/-SxVfSfTp9-8/U0_pvha6beI/AAAAAAAA5Bg/0E1f7FhVhu4/s1600/IMG_3966.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Green Stars Industry inayomiliki eneo la FAN CITY Bw. Hasan Rizvi akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani) mashine za michezo mbali mbali itakayotolewa kipindi cha sikukuu ya Pasaka wakati wa mkutano alioufanya katika eneo la Fun City Kigamboni jijini Dar es Salaam. Pia aliongeza kuwa kwa sasa kampuni yake imeeongeza mitambo yenye uwezo wa kutengeneza mawimbi ya aina sita tofauti kwenye bwawa kubwa la kuogelea.
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/Untitled26.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Vwf97KRUPFs/U1ADAcfCqpI/AAAAAAAA5DI/dAV2dcz7xp4/s1600/IMG_3849.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
REBECCA MALOPE: Malkia wa Injili Afrika, gumzo kwa mashabiki Tamasha la Pasaka 2014
JINA la Rebecca Malope si geni masikioni na machoni mwa wengi, hasa kwa wapenzi, mashabiki na wadau wa muziki wa Injili. Rebecca aliyezaliwa mwaka 1968, yu miongoni mwa waimbaji wa...
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Diamond awasili Washington, DC tayari kwa makamuzi ya sherehe ya Uhuru muda mfupi ujao
Diamond akiwasili kwenye uwanja wa kimataifa wa Dulles muda huu tayari kwa makamuzi ya sharehe ya Uhuru itayofanyika muda si mrefu Sheraton, ya Downtown Silver Spring, Maryland.
Diamond akimsalimia mwenyeji wake (hawapo pichani) mara tu alipowasili Dulles.
Kutoka kushoto ni Dj Romy Jones, Diamond na mmoja wa waratibu wa sherehe ya Uhuru Bwn. Phanuel Ligate.