Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU AANIKA SIRI YA ‘KU-DATE’ NA WALIOMZIDI UMRI

Gladness Mallya  Funguka! Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’      na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake. Elizabeth Michael ‘Lulu’ Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LULU AANIKA SIRI YA KUTEMBEA NA WANAUME WALIOMZIDI UMRI


Funguka! Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’ na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake.Elizabeth Michael ‘Lulu’Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida, wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.“Siwezi kuwa na mwanaume ambaye tunalingana kwa sababu atakuwa hana sifa hizo,” alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Akili na Kutoa Sababu ya Kupenda Kutoka na Wanaume Waliomzidi Umri

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekili kupenda kuwa na mahusiano na ya kimapenzi na wanaume waliomzidi sana umri.

Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.

SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,

LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Akili na Kutoa Sababu ya Kupenda Watoka na Wanaume Waliomzidi Umri

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amekili kupenda kuwa na mahusiano na ya kimapenzi na wanaume waliomzidi sana umri.

Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.

SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,

LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...

 

11 years ago

GPL

AY AANIKA SIRI IKULU YA OBAMA

Stori: Mwandishi Wetu MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ ameanika siri za Ikulu ya Rais Baraka Obama wa Marekani, baada ya kuitembelea wakati alipokwenda kwa ajili ya shoo akiwa na wenzake tisa kutoka Afrika. Msanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ambwene Yesaya ‘AY’ akipozi. “Nilipokwenda sikumkuta Rais Obama, alikuwa Minnesota kwa mambo yake, lakini tulipokelewa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Tambwe aanika siri ya mabao

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ametoa siri ya safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kufanya vyema kwenye mechi mbalimbali za hivi karibuni.

 

11 years ago

GPL

LULU AANIKA MCHECHETO KIZIMBANI

STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa siku alipokuwa mahakamani akisomewa kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba, alipata mchecheto sana. Elizabeth Michael 'Lulu'. Akipiga stori na paparazi wetu alisema, siku hiyo wakati kesi ikiendelea, alipata mchecheto kiaina na kujikuta ghafla akiwaza juu ya hatima yake hivyo kuangukia katika lindi la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vee Money aanika siri ya Hawajui

MWANADADA anayetamba katika tasnia ya muziki wa Bongo, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema aliamua kusambaza ngoma yake mpya ya ‘Hawajui’ baada ya baadhi ya wadau wa muziki huo kusema hakustahili...

 

10 years ago

GPL

LADY NAA AANIKA SIRI YA KUMPENDA ZARI

Mtangazaji Lady Naa. Hamida Hassan/ijumaawikienda
KUMBE! Aliyekuwa shemeji wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wakati ikisemekana anatoka na mtoto wa mbunge, Najma, Mtangazaji Lady Naa ameanika siri juu ya ukaribu wake na mpenzi wa sasa wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari’ kuwa usitafsiriwe kuwa ni usaliti kwani ndiye anayeshikilia usukani kwa sasa. Lady Naa ameliambia Ijumaa Wikienda kuwa anampenda Zari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani