LULU AANIKA MCHECHETO KIZIMBANI
![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6wMGExntYx1Xzd2SsImAYyxgjhKLSEiDhSWWypbXIvJ9xCkCyVoa05NfoNUFomMaBsvz-Mcf0eH2-ZEO8HSk2SX/lulu.jpg?width=650)
STAA wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa siku alipokuwa mahakamani akisomewa kesi inayomkabili ya kumuua bila kukusudia msanii mwenzake, marehemu Steven Kanumba, alipata mchecheto sana. Elizabeth Michael 'Lulu'. Akipiga stori na paparazi wetu alisema, siku hiyo wakati kesi ikiendelea, alipata mchecheto kiaina na kujikuta ghafla akiwaza juu ya hatima yake hivyo kuangukia katika lindi la...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 May
LULU AANIKA SIRI YA KUTEMBEA NA WANAUME WALIOMZIDI UMRI
![](http://api.ning.com/files/t3ZSopUVDgZeV3VKVmnXsXWB0N-MTYQmTvq-7rFwrTjeqyExZK2g8Q-Hvbo4kCLSyOmxHsSLVUGSqGhNamxPRIzuRvKpCM0D/lulu2.jpg?width=650)
Funguka! Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’ na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake.Elizabeth Michael ‘Lulu’Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida, wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.“Siwezi kuwa na mwanaume ambaye tunalingana kwa sababu atakuwa hana sifa hizo,” alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbL3QxcVnnXGRTTcwrDyGcEvn-CaZjfUyXVevlqVPQmLGbSUAmNDd1V3Ps*zZRVahijAWTiYJWhReY-F0iD0HSr/lulu.jpg?width=650)
LULU AANIKA ‘UPAJA’ KUWATEGA WANAUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb3-n4iZYB5fU5S0LXgaktnWrbTRVVMuvb*eVl7JQsG0bR60wD6tdajmA9NUqvCeelm0wr0QGok6dSISYoNu38Ay/lulu.jpg?width=650)
KESI YA KIFO CHA KANUMBA... LULU AANIKA UKWELI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgYMpmcaPojNN1cgaQUB1o8uUqkk4nV6yF2EiNKcA2Za5uU03XYFYl1aK0hhD-Te1sAKX4ZExgU5D8SQBt-0dc9B/lulucopy.jpg?width=650)
LULU AANIKA SIRI YA ‘KU-DATE’ NA WALIOMZIDI UMRI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO8647OZFUAoBHYkFN9n2jjv7ghdZanj0txZT5EaFwL9CeghAVOFCnImLbH*JurIE57RzcagOLejEGLvCSNzO4Q5/lulu.jpg?width=650)
MADAI YA KUMUUA KANUMBA, LULU KIZIMBANI TENA
9 years ago
Bongo Movies22 Oct
Madai ya Kumuua Kanumba…Lulu Kizimbani Tena
MAMBO yameiva! Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ (20) yu mbioni kupanda tena Kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kwa ishu yake ile ya madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu nchini, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Amani lina ripoti mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka ndani ya mahakama hiyo jijini Dar, kesi hiyo ilisimama kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wa...
11 years ago
GPLLULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Azam yaanza mchecheto