Azam yaanza mchecheto
Wachezaji wa Azam wamesema mashindano ya Kombe la Mapinduzi yanayoendelea Zanzibar ni magumu, ambapo kama watafanikiwa kutetea ubingwa wao wa kombe hilo njia itakuwa nyeupe ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Azam FC yaanza vyema Kagame
TIMU ya soka Azam FC jana imeanza vyema michuano ya Kombe Kagame Cup, baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0, dhidi ya KCCA ya Uganda, Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo wa kwanza kwa Azam FC, msimu huu uliwachukua dakika ya 12 ya kuandika bao la kwanza lililowekwa kimiani na nahodha wao John Bocco ‘Adebayor’ aliyepokea pasi ya Shomari Kapombe.
Azam, walitengeneza nafasi nyingi za katika kipindi cha kwanza, lakini ukosefu umakini kwa safu ya ushambuliaji ndio...
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Yanga yaingiwa mchecheto
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga imeonekana kuingiwa mchecheto kuelekea mchezo ujao dhidi ya Mwadui, baada ya kuondoka na wachezaji wote wa kikosi hicho hata wale waliokuwa majeruhi.
Mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wanaelekea mkoani Shinyanga leo kwa ajili ya mchezo huo muhimu utakaofanyika Uwanja wa Kambarage keshokutwa, huku wakiwa wamepania kuibuka na ushindi.
Mmoja ya wachezaji aliyekuwa majeruhi na anaondoka na kikosi hicho ni kiungo Salum Telela, huku wengine Mbuyu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6wMGExntYx1Xzd2SsImAYyxgjhKLSEiDhSWWypbXIvJ9xCkCyVoa05NfoNUFomMaBsvz-Mcf0eH2-ZEO8HSk2SX/lulu.jpg?width=650)
LULU AANIKA MCHECHETO KIZIMBANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkz5P-SodKN-nr65AnPRf-m0IkPIV6yzxcTQMcrTmCLj6QknB0nWV6z18DuMic8jSibXWgPv3RjjyMo8biTz3eO7/KAJALA.jpg)
KAJALA APATA MCHECHETO GHAFLA
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Simba sasa yaingia mchecheto
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kocha wa City aingia mchecheto
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s72-c/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
MAKALA MCHECHETO:WABONGO HATUJAWAHI KUWA NA MISIMAMO,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s400/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
KIPI nakipenda? Ooh napenda mitazamo ya watanzania wenzangu pale wanapoamua kutoa maoni yao juu ya jambo Fulani. Leo watatoa maoni chanya kesho watatoa hasi. Twende taratibu.
Ni watanzania hawa hawa ambao walikua hawampendi Mjeshi wa Bongo Fleva, Harmonize kipindi akiwa lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Supastaa, Diamond Platnumz.
Wabongo hawakumpa heshima Konde Boy, wengine wakasema anabebwa na promo ya Wasafi, wengine wakasema hakuna kitu yule anamuiga Diamond.
Mungu...