MAKALA MCHECHETO:WABONGO HATUJAWAHI KUWA NA MISIMAMO,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s72-c/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
Charles James, Michuzi TV
KIPI nakipenda? Ooh napenda mitazamo ya watanzania wenzangu pale wanapoamua kutoa maoni yao juu ya jambo Fulani. Leo watatoa maoni chanya kesho watatoa hasi. Twende taratibu.
Ni watanzania hawa hawa ambao walikua hawampendi Mjeshi wa Bongo Fleva, Harmonize kipindi akiwa lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Supastaa, Diamond Platnumz.
Wabongo hawakumpa heshima Konde Boy, wengine wakasema anabebwa na promo ya Wasafi, wengine wakasema hakuna kitu yule anamuiga Diamond.
Mungu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7rbVGi8fN1o/Vmak6Mgol_I/AAAAAAAIK28/fwRt6OHp3mo/s72-c/IMG_5263.jpg)
MAKALA: Zao la Karafuu laweza kuwa uti wa mgongo wa Uchumi Zanzibar
Kuimarisha Zao la Karafuu ni sawa na kuimarisha Uchumi na Maendeleo ya nchi, jitihada za Wadau ni muihimu ili kufika lengo la Serikali la kuifanya Sekta ya Zao la Karafuu kuwa uti wa mgongo wa Uchumi liweze kufikiwa.
Kutokana na umuhimu wa Sekta ya Karafuu kwa Maendeleo ya Uchumi Serikali imefanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo kwa lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa Wakulima na Taifa kwa jumla.
Katika utekelezaji wa Mageuzi hayo yaliyoanza mwaka...
11 years ago
MichuziHATUJAWAHI KUMKOPESHA MBOWE, WALA KUWASAIDIA "SUGU" NA MSIGWA - MFUKO WA PENSHENI WA LAPF
![](http://1.bp.blogspot.com/-PCwVe-nMleg/U4baEFrf2jI/AAAAAAAFmFU/LVh6qIvLR9I/s1600/download+(1).jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Azam yaanza mchecheto
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Yanga yaingiwa mchecheto
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga imeonekana kuingiwa mchecheto kuelekea mchezo ujao dhidi ya Mwadui, baada ya kuondoka na wachezaji wote wa kikosi hicho hata wale waliokuwa majeruhi.
Mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wanaelekea mkoani Shinyanga leo kwa ajili ya mchezo huo muhimu utakaofanyika Uwanja wa Kambarage keshokutwa, huku wakiwa wamepania kuibuka na ushindi.
Mmoja ya wachezaji aliyekuwa majeruhi na anaondoka na kikosi hicho ni kiungo Salum Telela, huku wengine Mbuyu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkz5P-SodKN-nr65AnPRf-m0IkPIV6yzxcTQMcrTmCLj6QknB0nWV6z18DuMic8jSibXWgPv3RjjyMo8biTz3eO7/KAJALA.jpg)
KAJALA APATA MCHECHETO GHAFLA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6wMGExntYx1Xzd2SsImAYyxgjhKLSEiDhSWWypbXIvJ9xCkCyVoa05NfoNUFomMaBsvz-Mcf0eH2-ZEO8HSk2SX/lulu.jpg?width=650)
LULU AANIKA MCHECHETO KIZIMBANI
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Simba sasa yaingia mchecheto
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kocha wa City aingia mchecheto
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Misimamo ya makundi italigawa taifa
SASA ni hakika kwamba hatuna mwafaka wa kitaifa. Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba watatunga Katiba ambayo kwa hakika inaweza isiwe dawa ya matatizo ya kikatiba tuliyokuwa tunatarajia. Ni wazi...