Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Misimamo ya makundi italigawa taifa

SASA ni hakika kwamba hatuna mwafaka wa kitaifa. Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba watatunga Katiba ambayo kwa hakika  inaweza isiwe dawa ya matatizo ya kikatiba tuliyokuwa tunatarajia. Ni wazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAKONDA; MAKUNDI KATIKA VYAMA NI HATARI KWA TAIFA

MKUU wa Idara ya Hamasa na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapindunzi (UVCCM), Paul Makonda alitembelea chumba cha habari cha Global Publishers Janurai 24 mwaka huu na kuzungumza na wanahabari. Paul Makonda. Ni mengi aliyoyasema mbele ya wanahabari. Leo tunakuletea yale yaliyojiri siku hiyo.
Mara baada ya kukaribishwa na Mhariri wa Habari, Makala na Uratibu wa Global Publishers, Luqman Maloto katika jukwaa ambalo...

 

9 years ago

Vijimambo

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA IDADI YA WAPIGA KURA KWA MAKUNDI NA MIAKA

Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasiliana nasi kupitia namba +255713363965 / +255755274953. Tunashukuru kwa ushirikiano wenu.

 +



CHANZO: TUME YA UCHAGUZI

 

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

9 years ago

BBCSwahili

UN yahimiza mataifa kuacha misimamo mikali Syria

Katibu Mkuu wa UN Ban Ki-moon ametoa wito kwa mataifa kuweka kando misimamo mikali wakati wa mashauriano kuhusu mapigano yanayoendelea nchini Syria mjini Vienna.

 

5 years ago

Michuzi

MAKALA MCHECHETO:WABONGO HATUJAWAHI KUWA NA MISIMAMO,

Charles James, Michuzi TV

KIPI nakipenda? Ooh napenda mitazamo ya watanzania wenzangu pale wanapoamua kutoa maoni yao juu ya jambo Fulani. Leo watatoa maoni chanya kesho watatoa hasi. Twende taratibu.

Ni watanzania hawa hawa ambao walikua hawampendi Mjeshi wa Bongo Fleva, Harmonize kipindi akiwa lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Supastaa, Diamond Platnumz.

Wabongo hawakumpa heshima Konde Boy, wengine wakasema anabebwa na promo ya Wasafi, wengine wakasema hakuna kitu yule anamuiga Diamond.

Mungu...

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vionyeshe misimamo yao kuhusu ubeberu

Watanzania tuna changamoto tete ya kuuondoa utatu usiokuwa mtakatifu, yaani umaskini, ujinga na maradhi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Hakuna ugaidi wa kadri au wenye misimamo mikali

Utafiti unasema kuwa ni vigumu kutofautisha kati ya wapiganaji wenye msimamo wa kadri au wale wenye misimamo mikali

 

11 years ago

Mwananchi

Misimamo, ukweli, fitina:Utatu unaoweka rehani hatima ya wabunge 2015

Kazi ya Mbunge kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano ni kuwawakilisha wananchi na kutunga sheria na kuisimamia na kuishauri serikali katika mwenendo wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani