Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vionyeshe misimamo yao kuhusu ubeberu

Watanzania tuna changamoto tete ya kuuondoa utatu usiokuwa mtakatifu, yaani umaskini, ujinga na maradhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Ubeberu wa kiroho unatugawa kwa miungu wawili

KIPINDI kifupi kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge Maalum la Katiba (BMK) mwaka jana ili kupitia

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Vijimambo

VYAMA VYA WAONGOZA WATALII NA WAPAGAZI TANZANIA WATOA SIKU 30 KWA SERIKALI KUSHUGHULIKIA MADAI YAO.

Mwenyekiti wa Chama cha waongoza watalii mkoa wa Kilimanjaro (KGA) Respicius Baitwa akizungumza katika mkutano wa vyama vinayofanya shughuli za Utalii katika hifadhi za taifa juu ya kusudio la kutaka kusitisha kutoa huduma katika hifadhi kutokana na malalamiko yao kutofanyiwa kazi hadi sasa.Baadhi ya wajumbe walioshiriki mkutano huo uliofanyika katika Hotel ya Uhuru mjini Moshi.
Katibu wa KGA ,James Mong'ateko akizungumza katika mkutano huo.Wajumbe wengine wa vyama vinayofanya shughuli za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wagiriki waamua kuhusu madeni yao

Mamilioni wa raia nchini Ugiriki wanapiga kura ya maamuzi kuhusu iwapo watakubali ama kukataa masharti yaliowekwa na wakopeshaji ili kulipa deni wanalodaiwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Vyama vya siasa vyampinga Kafulika kuhusu IPLT

escrow

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila NCCR-Mageuzi.

Na Mwandishi wetu

MUUNGANO wa Vyama vitano vya siasa umewataka wanasiasa kuacha kumpiga Mwenyekiti wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Saign Sethi, kwamba amehusika na upotevu wa sh bilioni 200 katika Akaunti ya Escrow.

Vyama hivyo vitano ni Chana Cha Kijamii (CCK), Chama cha wa Kulima (AFP), Chama cha Sauti ya Umama (SAU), UMD na Demokrasia Makini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Katibu chama cha SAU, Ali Kaniki, alisema wanapenda...

 

11 years ago

Bongo5

Iyanya awashauri Davido na Wizkid, ni kuhusu beef yao!

Mwimbaji aliyeshirikishwa na Diamond Platnumz katika single mpya ‘Bum bum’, Iyanya wa Nigeria ni miongoni mwa watu wanaotamani kuwaona Davido na Wizkid wanamaliza beef yao au hata wakifanya kazi pamoja. Baada ya Davido na Wizkid kurushiana vijembe kupitia twitter hivi karibuni bila kutajana majina, wakitambiana kuhusu idadi ya watu wanaoingia kwenye show zao, Iyanya nae […]

 

11 years ago

GPL

‘TANZANIA KWANZA’ YAVISHAMBULIA VYAMA VYA SIASA KUHUSU KATIBA

Mwenyekiti Tanzania Kwanza Nje ya Bunge, Augustino Matefu, akizungumza na waandishi wa habari  (hawamo pichani).
Kushoto ni Katibu wa Tanzania Kwanza, Othman Suleiman, kulia ni Mwenyekiti Augustino Matefu.…

 

10 years ago

GPL

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA TAMKO KUHUSU CHAMA CHA TPP

Msajili msaidizi upande wa usajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza, akitoa taarifa yake kwa wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakichukua tukio hilo. Wanahabari wakimsikiliza kwa makini, msaidizi upande wa usajili wa vyama vya siasa, Sisty Nyahoza. ... Nyahoza akitoa ufafanuzi wa jambo, kulia kwake ni, Mkurugenzi Utawala na Raslimali Watu, Emmanuel Kayuni kutoka ofisi ya msajili wa vyama vya siasa. (PICHA NA DENIS...

 

10 years ago

GPL

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAKUTANA NA VYAMA VYA SIASA KUHUSU MAJIMBO MAPYA

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Uchaguzi, Julius  Malaba,  akizungumza jambo. Sehemu ya viongozi wa vyama vya siasa katika mkutano huo. Prof. Lipumba akichangia katika mkutano…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani