Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN yahimiza mataifa kuacha misimamo mikali Syria

Katibu Mkuu wa UN Ban Ki-moon ametoa wito kwa mataifa kuweka kando misimamo mikali wakati wa mashauriano kuhusu mapigano yanayoendelea nchini Syria mjini Vienna.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Hakuna ugaidi wa kadri au wenye misimamo mikali

Utafiti unasema kuwa ni vigumu kutofautisha kati ya wapiganaji wenye msimamo wa kadri au wale wenye misimamo mikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa walaumiwa kuhusu Syria

Ripoti ya mashirika zaidi ya ishirini ya misaada ya kibinadamu na yale ya kutetea haki za binadamu yamelishutumu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kutetea raia walio katikati ya vita nchini Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Umoja wa Mataifa waahidi misaada Syria

Umoja wa Mataifa umeahidi kuendelea kutoa misaada nchini Syria licha ya mashambulio dhidi ya misafara yake

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa nini mataifa ya kiarabu hayawachukui wakimbizi wa Syria

Picha za wakimbizi wa Syria waliokwama katika mipaka na vile vile katika vituo vya treni bila kutaja picha ya mvulana mdogo wa miaka mitatu Alan Kurdi aliyekuwa amesombwa na maji katika ufukwe wa bahari wa Uturuki zimezua hisia kwa juhudi zaidi kuchukuliw

 

10 years ago

Vijimambo

Dakika moja na nusu ya michano mikali kutoka kwa Ay ‘El Chapo’ isikilize hapa.

Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Ay can still do it kwenye rap kama alivyothibitisha kwenye El Chapo iliyorekodiwa na Marco Chali. Sauti ya Jokate pia ipo kwenye Clip hii

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

Tanzania Daima

Misimamo ya makundi italigawa taifa

SASA ni hakika kwamba hatuna mwafaka wa kitaifa. Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba watatunga Katiba ambayo kwa hakika  inaweza isiwe dawa ya matatizo ya kikatiba tuliyokuwa tunatarajia. Ni wazi...

 

5 years ago

Michuzi

MAKALA MCHECHETO:WABONGO HATUJAWAHI KUWA NA MISIMAMO,

Charles James, Michuzi TV

KIPI nakipenda? Ooh napenda mitazamo ya watanzania wenzangu pale wanapoamua kutoa maoni yao juu ya jambo Fulani. Leo watatoa maoni chanya kesho watatoa hasi. Twende taratibu.

Ni watanzania hawa hawa ambao walikua hawampendi Mjeshi wa Bongo Fleva, Harmonize kipindi akiwa lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Supastaa, Diamond Platnumz.

Wabongo hawakumpa heshima Konde Boy, wengine wakasema anabebwa na promo ya Wasafi, wengine wakasema hakuna kitu yule anamuiga Diamond.

Mungu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani