UN yahimiza mataifa kuacha misimamo mikali Syria
Katibu Mkuu wa UN Ban Ki-moon ametoa wito kwa mataifa kuweka kando misimamo mikali wakati wa mashauriano kuhusu mapigano yanayoendelea nchini Syria mjini Vienna.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Dec
Utafiti: Hakuna ugaidi wa kadri au wenye misimamo mikali
Utafiti unasema kuwa ni vigumu kutofautisha kati ya wapiganaji wenye msimamo wa kadri au wale wenye misimamo mikali
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Umoja wa Mataifa walaumiwa kuhusu Syria
Ripoti ya mashirika zaidi ya ishirini ya misaada ya kibinadamu na yale ya kutetea haki za binadamu yamelishutumu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kutetea raia walio katikati ya vita nchini Syria.
11 years ago
BBCSwahili09 Feb
Umoja wa Mataifa waahidi misaada Syria
Umoja wa Mataifa umeahidi kuendelea kutoa misaada nchini Syria licha ya mashambulio dhidi ya misafara yake
9 years ago
BBCSwahili14 Sep
Kwa nini mataifa ya kiarabu hayawachukui wakimbizi wa Syria
Picha za wakimbizi wa Syria waliokwama katika mipaka na vile vile katika vituo vya treni bila kutaja picha ya mvulana mdogo wa miaka mitatu Alan Kurdi aliyekuwa amesombwa na maji katika ufukwe wa bahari wa Uturuki zimezua hisia kwa juhudi zaidi kuchukuliw
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFN467yEdw/VYWrqsn1yyI/AAAAAAADsbs/YXy46E88d0w/s72-c/news1FM3723059281701795.jpg)
Dakika moja na nusu ya michano mikali kutoka kwa Ay ‘El Chapo’ isikilize hapa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-nPFN467yEdw/VYWrqsn1yyI/AAAAAAADsbs/YXy46E88d0w/s640/news1FM3723059281701795.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Misimamo ya makundi italigawa taifa
SASA ni hakika kwamba hatuna mwafaka wa kitaifa. Wabunge wa Bunge Maalumu la Katiba watatunga Katiba ambayo kwa hakika inaweza isiwe dawa ya matatizo ya kikatiba tuliyokuwa tunatarajia. Ni wazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s72-c/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
MAKALA MCHECHETO:WABONGO HATUJAWAHI KUWA NA MISIMAMO,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s400/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
KIPI nakipenda? Ooh napenda mitazamo ya watanzania wenzangu pale wanapoamua kutoa maoni yao juu ya jambo Fulani. Leo watatoa maoni chanya kesho watatoa hasi. Twende taratibu.
Ni watanzania hawa hawa ambao walikua hawampendi Mjeshi wa Bongo Fleva, Harmonize kipindi akiwa lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Supastaa, Diamond Platnumz.
Wabongo hawakumpa heshima Konde Boy, wengine wakasema anabebwa na promo ya Wasafi, wengine wakasema hakuna kitu yule anamuiga Diamond.
Mungu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania