KAJALA APATA MCHECHETO GHAFLA
![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkz5P-SodKN-nr65AnPRf-m0IkPIV6yzxcTQMcrTmCLj6QknB0nWV6z18DuMic8jSibXWgPv3RjjyMo8biTz3eO7/KAJALA.jpg)
Stori: mayasa mariwata MUIGIZAJI mwenye jina katika filamu za Bongo, Kajala Masanja juzi kati alipatwa na mchecheto ghafla wakati wa shughuli iliyoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere maarufu kama Steve Nyerere huko Masaki, jijini Dar es Salaam. Muigizaji mwenye jina katika filamu za Bongo, Kajala Masanja Katika tukio hilo ambalo Steve Nyerere alikuwa ameandaa chakula cha usiku kwenye ukumbi wa Great...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XnT5wfGNAfNbIhP-m*pIM9BFFvt7f-YlC7v79YAozKeI4zkv2BmoAZ5wmd*K*-WUYOtyHR12JR3SJXjA*QhVj*8JU32pzTL4/IMG_4198.jpg)
KAJALA APATA PIGO
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Azam yaanza mchecheto
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Yanga yaingiwa mchecheto
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga imeonekana kuingiwa mchecheto kuelekea mchezo ujao dhidi ya Mwadui, baada ya kuondoka na wachezaji wote wa kikosi hicho hata wale waliokuwa majeruhi.
Mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wanaelekea mkoani Shinyanga leo kwa ajili ya mchezo huo muhimu utakaofanyika Uwanja wa Kambarage keshokutwa, huku wakiwa wamepania kuibuka na ushindi.
Mmoja ya wachezaji aliyekuwa majeruhi na anaondoka na kikosi hicho ni kiungo Salum Telela, huku wengine Mbuyu...
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Kocha wa City aingia mchecheto
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Simba sasa yaingia mchecheto
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6wMGExntYx1Xzd2SsImAYyxgjhKLSEiDhSWWypbXIvJ9xCkCyVoa05NfoNUFomMaBsvz-Mcf0eH2-ZEO8HSk2SX/lulu.jpg?width=650)
LULU AANIKA MCHECHETO KIZIMBANI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s72-c/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
MAKALA MCHECHETO:WABONGO HATUJAWAHI KUWA NA MISIMAMO,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Nr1L6UoeUNc/XpaZhMRJecI/AAAAAAALm-I/5dYNsgi6mbohkrIyf9topeog_eYh4Su5ACLcBGAsYHQ/s400/harmonize-moyo-1-700x466.jpg)
KIPI nakipenda? Ooh napenda mitazamo ya watanzania wenzangu pale wanapoamua kutoa maoni yao juu ya jambo Fulani. Leo watatoa maoni chanya kesho watatoa hasi. Twende taratibu.
Ni watanzania hawa hawa ambao walikua hawampendi Mjeshi wa Bongo Fleva, Harmonize kipindi akiwa lebo ya Wasafi inayomilikiwa na Supastaa, Diamond Platnumz.
Wabongo hawakumpa heshima Konde Boy, wengine wakasema anabebwa na promo ya Wasafi, wengine wakasema hakuna kitu yule anamuiga Diamond.
Mungu...
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...