LULU ASHAMBULIWA KISA, KIGAUNI CHAKE
![](http://api.ning.com:80/files/RnVdzGQ*fcKoJF9Kp5uOXz2T9eViydOlwU1Kw1ZZIqveYLGe40EaV2kWhARQp-8ru4nW6V1MDWPLuFzF2Zxo9KDoaNHlcpRn/lulu.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata Mavazi anayovaa msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu,’ sasa yanamuweka matatani kufuatia hivi karibuni kushambuliwa kwa maneno kutokana na kigauni cha kimitego alichokuwa amevaa. Elizabeth Michael ‘Lulu,’ na kivazi chake kilichozua utata. Kigauni hicho ambacho juzikati alionekana nacho mitaa ya Sinza jijini Dar kisha baadaye kukitupia mtandaoni, kimewafanya wengi wahoji...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Jose Mourinho ashambuliwa na mashabiki, kisa Terry
![jose-mourinho_epa_2587091k](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/jose-mourinho_epa_2587091k-300x187.jpg)
MASHABIKI wa klabu ya Chelsea wamemtupia lawama kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, baada ya kumuweka benchi beki wake, John Terry katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Porto.
Mchezo huo ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa Dragao nchini Ureno, Chelsea ilikubali kichapo cha mabao 2-1, huku beki wake akiachwa benchi na kocha huyo.
Kitendo hicho kiliwafanya mashabiki watume ujumbe mbalimbali katika klabu hiyo wa kudai kwamba wanamtaka beki huyo kupewa nafasi ya kuanza kama...
10 years ago
Bongo Movies30 Apr
Lulu na Kisa cha Maisha ya Mvunja Kikombe!
SIKU za hivi karibuni imekuwa ikiripotiwa mtafaruku uliopo kati ya staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa.Miongoni mwa mambo yanayozua hali hiyo, kwa mujibu wa mama Kanumba, ni kitendo cha Lulu kumsahau kama ‘mama’ yake na hivyo kukiuka ‘kiapo’ cha awali cha Lulu kumchukulia mama Kanumba katika udugu wa umama.
Kiapo hiki kiliwekwa siku chache baada ya Lulu kuachiwa kwa dhamana akitoka kwenye Gereza la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURQHBOua3v8UPIFWzoELSSQHTIQeO*Vdlmsl*SFAL0l27INlowc03eKbtJWYEWI3PkIRnrY5gL-wLDHrHi75h2mq/wpidlulu.jpg)
LULU NA KISA CHA MAISHA YA MVUNJA KIKOMBE!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ccv79ba4KWADbLyRA8rwFVTGuG7QtilEZuThrxHpdXD6lvnV0c91aDOLdB0OZH0NkP0Qt0ObPj35JUiYd2y6N6ET9AVSVcOP/lulu.jpg?width=650)
KISA UHUSIANO NA DIAMOND LULU, WEMA WAFIKA PABAYA!
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Lulu amkumbuka Kanumba ikiwa ni miaka miwili tangu kifo chake kilipotokea. Hichi ndicho alichosema
Leo ni siku ya kutimiza miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha Steven Kanumba aliyekuwa star mkubwa wa filamu na kufanikiwa kutoa njia kwa tasnia ya filamu nchini. Kupitia mtandao wa kijamii Elizabeth Michael "Lulu" ambaye anakabiriwa na kesi ya mauaji ya Kanumba bila kukusudia ameandika kwa uchungu kuonyesha kuwa mpaka leo bado haamini kuwa Kanumba alikwishafariki.
Kupitia mtandao mmoja maaruffu wa kijamii, Lulu ameandika
bado Siamini kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-elbtEyTHsgI/XmzmjxsEhbI/AAAAAAALjqQ/Jfn3seMIwVUbIXimJMg66xeJCtTeVg1hACLcBGAsYHQ/s72-c/_111260676_946d6c86-02bf-4a63-b610-bfddfa94f8b4.jpg)
Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Raia huyo hakuwa na dalili zozote za virusi vya Corona wakati anawasili nchini Rwanda na alijipeleka mwenyewe kwenye kituo cha afya Machi 13, ambapo alifanyiwa vipimo mara moja.
Wizara ya afya imesema kwa sasa anaendelea na matibabu, hali yake imeimarika na ametengwa na wagonjwa...
10 years ago
Vijimambo12 Apr
LULU MICHAEL Agoma kumtaja BABA wa Mimba yake ...Kisa Kuogopa KUROGWA
5 years ago
BBCSwahili14 Mar
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*Cqs3vsNRTSxc27Q66SR1GALpvEfVL2Vkq83GbZpmT*Q99H7Iw9jm1DJYGoCqcuQcczbgJLD53N23mI6jyjdQdRb/Wolper.jpg?width=650)
KIGAUNI CHA WOLPER CHAIBUA MINONG’ONO