Lulu awakana Mapacha
BAADA ya wasanii wa kundi la Mapacha, kutambulisha ngoma yao mpya inayojulikana kwa jina la ‘Time For The Money’ waliyodai kumshirikisha nyota wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, msanii huyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM25 Jun
LULU AKANA KUSHIRIKISHWA NA MAPACHA KWENYE NGOMA YAO MPYA
Ngoma ya wasanii Mapacha waliyoiachia juzi ndani ya xxl,iitwayo ‘it for the money’ ambayo wamemshirikisha staa wa filamu za Kibongo,Elizabeth Michael’lulu’ imeleta utata baada ya msanii huyo wa Bongo Movie kukanusha kushirikishwa kwenye ngoma hiyo.
Kupitia mtandao wa Instagram Lulu aliandika hivi baada ya ngoma hiyo kutambulishwa.,, I swear sina idea na Huku kushirikishwa....au kuna Elizabeth Michael'Lulu' mwingine!????Dah...hebu mliosikia hiyo nyimbo labda mniambie maana nashirikishwa...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Bongo Movies01 Jan
LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake
“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.
Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...
10 years ago
Vijimambo17 Dec
MAPACHA WALIOUNGANA WATENGANISHWA
![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/Picture1-swahili.jpg)
Watanzania waendelea kufaidika kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyoko nchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike Abriana na Adriana waliokuwa wameunganika chini ya kifua na tumboni kutoka nchini Tanzania katika upasuaji uliofanyika tarehe 17 Novemba 2014 nchini India. Mapacha waliounganika kwa mtindo huu hujulikana kwa watalaam kama Thoraco Omphalopahus na upasuaji uliofanyika na hospitali Apollo ulikuwa wenye mafanikio na wa aina yake.
Mapacha...
10 years ago
GPLMAPACHA WA SHIJA WAIBUKA!
10 years ago
Bongo Movies23 Jul
Mapacha Wacharuka na Filamu ya Dada
WAIGIZAJI pacha, Regina Mroni na Christina Mroni, wameandaa bonge la muvi mpya iitwayo Dada.
Hata hivyo, ndani ya muvi hiyo ni Regina pekee ndiye aliyeigiza huku Christina akihusika kwenye upande wa utayarishaji, uongozaji na uandishi wa skpriti.
Wakiongea na FilamuCentral kutokea ndani ya ofisi za kampuni ya Tansquare Film House iliyoandaa sinema hiyo, mapacha hao wameeleza kuwa wamewasilisha ujumbe mzito ndani ya filamu hiyo.
Walisema kuwa filamu hiyo inamzungumzia msichana wa kazi...
9 years ago
Bongo530 Dec
Music:Mapacha Watatu – Kimatumatu
![mapacha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/mapacha-300x194.jpg)
Bendi ya Mapacha Watatu “Wakali wa Town” katika kipindi hiki cha kufunga mwaka. Wameachia wimbo mpya. Wimbo unakwenda kwa jina la “Kimatumatu” utunzi wake Khalid Chokoraa kazi ikiwa imetengenezwa na Erasto Mashine.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mapacha watatu kuwashukuru Bagamoyo
NA MWALI IBRAHIM
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu inatarajia kufanya onyesho maalumu kwa ajili ya shukrani kwa mashabiki wao wa Bagamoyo kutokana na kura walizowapigia hadi wakashinda tuzo za kili.
Mmoja wa viongozi wa bendi hiyo, Khalid Chuma ‘Chokoraa’ alisema, onyesho hilo litafanyika Ijumaa ijayo kwa kutoa nyimbo mbili mpya ambazo ni ‘Mapacha wasasa’ na ‘Wabaya watu’.
“Mashabiki wetu walituwezesha kupata tuzo mbili kwenye mchakato wa tuzo za Kilimanjaro zikiwa ni ‘Mtunzi bora’...