Lulu Ayashukia Magazeti ya Udaku, VISA na LETE MAMBO
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo ameamua kuwapa makavu laivu magazeti hayo kwa kile ambacho Lulu anadai wamekuwa wakimbandika kwenye kurasa zao ya mbele kila leo kwa stori za kuungaunga.
“Okay...Acha nitoe PROMO bila Malipo tu maana inawezekana watu wana uhitaji...
Kwahyo kuna Magazeti yanaitwa VISA Na LETE MAMBO (tutambue uwepo wao kwanza) Sasa Sina uhakika kama ni masharti ya Boss zao Au ni sheria yao kutopitisha muda bila sura yangu kwenye magazeti yao tena Kwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo07 Jan
January 7 2016 magazeti 20 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 07 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 20 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
The post January 7 2016 magazeti 20 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo06 Jan
January 6 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 06 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
The post January 6 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo05 Jan
January 5 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 05 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.
The post January 5 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
TheCitizen03 Nov
Card issuer Visa Inc buys Visa Europe in 21-bn-euro deal
11 years ago
GPLLULU, NANDO WA BBA MAMBO HADHARANI
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Mwanahabari Mohamed Mambo wa Magazeti ya Serikali afiwa na Mkewe kuzikwa Ijumaa
Mke wa mwanahabari na mpiga picha mkuu wa TSN, Mohamed Mambo, Marehemu Margaret Mwaisaga enzi za uhai wake
TANGAZO LA KIFO
Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Tanzania standard Newsapapers Limited (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Dailynews, Sundaynews, Habarileo, Habarileo Jumapili na Spotileo, Bwana Mohamed Mambo anasikitika kutangaza kifo cha mke wake Margaret Amon Mwaisaga kilichotokea hospitali ya TMJ tarehe 15.09.2015. Msiba upo nyumbani kwa familia ya marehemu mikocheni nyumba namba 87...
10 years ago
Vijimambo"LULU: NI KWELI NAPENDA KUTEMBEA NA WANAUME WALIONIZIDI UMRI SABABU HAWANA MAMBO YA KITOTO"
Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.
SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,
LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...