LULU, NANDO WA BBA MAMBO HADHARANI
![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi37Ff6fHWjJ*5iUAu-Ni6nkDRci*sH76d5SPHCLvXQ2IhGok9-ghNm3ZjMty6Yp7m4FpDugjJqCxX3qSS75veuQ/nando.jpg)
Stori: Musa Mateja na Mayasa Mariwata Mambo hadharani! Uhusiano wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mshiriki wa Shindano la Big Brother Africa 2013, Amir Nando umewekwa kweupe. Muigizaji katika tasnia ya Muvi Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu'. Kabla ya wawili hao kufunguka, kulikuwa na madai mazito kuwa Lulu na Nando ‘wanachepuka’ mara tu baada ya Nando kutolewa BBA kwa ukosefu wa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/agg6MtdmQC3d37wdcgKr*yMcpgHUj*tDlukp-hY244mtX1vIyaYBhwSc5xhQrnguBxlh0ff7d1wh7z0PUpUrjK1HiRU3ElBU/nando.jpg)
LULU AFUNGUKIA PENZI NA NANDO WA BBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi2NLPM4wuhrX8M4cSiMqTaHxuB3*acKvbbnkCqT23aTo321vrHMGUyg9OljqM5n-VBa*QiBnc3MXZ71NcbUdgry/NANDOBBA.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOu26l9X6TYGFawZr7IkIYk9PC1pWRkE*qV3p45qlPrSg6mLEkSaLgadOsgi-eAh03A*y4HfL6jSE1jl6A3xVnI/FRONTJUMAMOSI.jpg)
MAMBO HADHARANI
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-RaBtDwkCkD0/U7LE6JSi2VI/AAAAAAAABSQ/kuBJ3eTsc8E/s72-c/Harrison+Mwakyembe-May27-2014.jpg)
Dk. Mwakyembe kuweka mambo hadharani leo
Na mwandishi wetu
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ameahidi kuwataja hadharani baadhi ya watumishi na watendaji wanaofanya vitendo vya uhalifu katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RaBtDwkCkD0/U7LE6JSi2VI/AAAAAAAABSQ/kuBJ3eTsc8E/s1600/Harrison+Mwakyembe-May27-2014.jpg)
Awali, Dk. Mwakyembe, alikuwa akutane na waandishi wa habari ofisini kwake jana, lakini alishindwa kufanya hivyo baada ya kuitwa Ikulu kwa majukumu mengine ya kikazi.
Hatua ya kuwekwa hadharani mtandao huo hatari unaohusisha watumishi wa idara mbalimbali, inafuatia agizo lake alilitoa...
9 years ago
Bongo526 Dec
Ridhiwan aweka mambo hadharani, soma alichojibu kuhusiana na shutuma za ufisadi dhidi yake
![Riz](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Riz-300x194.jpg)
Soma kile alichoandika Ridhiwan Kikwete kujibu tuhuma mbalimbali za ufisadi zilizomwandama kwa miaka mingi.
Ndugu zangu waandishi wa habari, nimeamua kuwaita ili kuzungumza nanyi kuhusu baadhi ya mambo yaliyokuwa yanasemwa katika vyombo vya habari kuhusu mimi.
Awali ya yote napenda kusema kuwa habari hizo ni UONGO mtupu, ni mambo yanayozushwa na waandishi wa habari hizo kwa nia ya kuchafua jina langu kwa sababu wanazozijua wanaoandika. UKWELI ni kwamba haya ni mambo yenye kufanywa kwa nia...
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Lulu Ayashukia Magazeti ya Udaku, VISA na LETE MAMBO
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo ameamua kuwapa makavu laivu magazeti hayo kwa kile ambacho Lulu anadai wamekuwa wakimbandika kwenye kurasa zao ya mbele kila leo kwa stori za kuungaunga.
“Okay...Acha nitoe PROMO bila Malipo tu maana inawezekana watu wana uhitaji...
Kwahyo kuna Magazeti yanaitwa VISA Na LETE MAMBO (tutambue uwepo wao kwanza) Sasa Sina uhakika kama ni masharti ya Boss zao Au ni sheria yao kutopitisha muda bila sura yangu kwenye magazeti yao tena Kwa...
10 years ago
Bongo Movies22 Apr
Mama Lulu Funguka Mambo Mazito Kuhusu Mwanaye!
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-g6wmqPtZDsw/VVR5UEAGppI/AAAAAAABOaQ/sXIxvK8iVzY/s72-c/Elizabeth-Michael-lulu1.jpg)
"LULU: NI KWELI NAPENDA KUTEMBEA NA WANAUME WALIONIZIDI UMRI SABABU HAWANA MAMBO YA KITOTO"
![](http://4.bp.blogspot.com/-g6wmqPtZDsw/VVR5UEAGppI/AAAAAAABOaQ/sXIxvK8iVzY/s640/Elizabeth-Michael-lulu1.jpg)
Akizungumza kwenye The Sporah Show, Lulu amezitaja sababu za kupendelea kutoka na wanaume waliomzidi umri.
SPORAH: Watu wanahisi kwamba Lulu anapenda sana kutembea na watu waliomzidi umri sana,
LULU: That’s true, sio uongo, sio sana, Napenda kudate mtu ambaye anayeweza kusimama kama mpenzi, kama kaka, kama baba, kama kiongozi. Sitakuwa tayari kuwa na ile...
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82551000/png/_82551576_nandos1.png)