Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lulu: Ma ‘Good Men’ Wapo Mbinguni, Hapa Duniani….

Mtazamo wa staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuhusu  ‘ma good men”wanaume wazuri (tabia) kuwa wapo wachache sana hapa duniani umechukuliwa kwa mitazamo tofauti  tofauti huku wadada wengi wakionyesha kumuunga mkono na wakaka wengi wakonyesha kumpinga na kusema wanawake wazuri (tabia) ndio wachache.

Lulu kwenye ukurasa wake mtandaoni aliweka picha yenye maneno  (hapo juu) yanayosomeka kwa lugha ya malkia kama “ You’ll never see women  auguring or battling over a good...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watu Bilioni mbili, Duniani wamekula wadudu..wapo wafanyabiashara wakubwa-Ripoti ya UN

'Entopreneurs' feed growing appetite for edible insects Meal worms try to escape from a straining bowl in a kitchen before being cooked Wednesday, Feb. 18, 2015, in San Francisco. A growing number of “entopreneurs” are trying to persuade consumers that insects are the next super food, a nutritious, low-cost, environmentally friendly source of protein that can help feed a hungry world. But they face a tough job convincing Westerners that crickets, meal worms and caterpillars can be tasty treats. (AP Photo/Ben Margot) ‘Entopreneurs’ feed...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa Na Pale: Lulu Awa Mtamu Chuoni!!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta jijini Dar.

Akizungumza hivi karibuni chuoni hapo, mmoja wa wanafunzi wanaosoma na mwigizaji huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema Lulu amekuwa akihudhuria vizuri darasani na kufanya vyema kwenye masomo yake mbalimbali zaidi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Ni Kweli Lulu Ana Mimba?! Jionee Mwenywe Hapa

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameweka tena picha yake mtandaoni (hiyo hapo juu)akionekana   mjamzito, hii ni mara ya pili baada ya hivi juzi kati kuweka picha  ya mwanamke mjamzito bila kuonyesha sura yake, kitendo ambacho kilionekana kuwa  sio yeye na niuongo kwani siku hiyo ilikuwa ni siki ya wajinga dunia.

Hata hivyo bado watu wengi hawajaamini kuwa mrembo huyo kwasasa ni mjamzito na hata lulu mwenyewe hajaweka wazi kuwa kwasasa ni mama kijacho japo wanasema...

 

11 years ago

Michuzi

MSIKILIZE MASANJA MKANDAMIZAJI ETI HATAMANI KWENDA MBINGUNI

MSANII WA VICHEKESHO MASANJA MKANDAMIZAJI AKIELEZA SABABU ZA KUTOTAMANI KWENDA KWA BABA LICHA YA KWAMBA AMEOKOKA NA KUMPENDA YESU. VIDEO IMEPIGWA NA DIXON BUSAGAGA WA GLOBU YA JAMII KANDA YA KASKAZINI.

 

11 years ago

TheCitizen

Plea to give people good Katiba Deliver good Katiba to : Grant TZ good new call

 As citizens, we record in our memories what is happening in the Constituent Assembly (CA) and at the end of the day, we will come up with a conclusion if the Constitution to be achieved will be useful to us and the country in general.

 

9 years ago

MillardAyo

Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote..

Kuna takwimu za ishu kama magonjwa, rushwa, ajali huwa zinapewa kipaumbele sana kwenye vichwa vya habari kila kona, lakini takwimu nyingine hata kama zipo ni adimu kukutana nazo… Leo ni December 18 2015, tunahesabu wiki mbili tu kuimaliza 2015, takwimu za wajane zimenifikia na naanza kukuchambulia sasahivi. Ripoti ya Loomba Foundation World Widows inaonesha mpaka sasa […]

The post Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote.. appeared first on...

 

10 years ago

TheCitizen

EDITORIAL: Good law will be good for us all, so don’t rush bill

The demand for a new media law, which should effectively repeal the much-criticised 1976 Media Act is an old song. Now ideally, the report that the government will table in the ongoing Parliament sitting, two media Bills to lead to a new Media Law, should have been received with a sigh of relief. But it has only created tension.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani