Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu Bilioni mbili, Duniani wamekula wadudu..wapo wafanyabiashara wakubwa-Ripoti ya UN

'Entopreneurs' feed growing appetite for edible insects Meal worms try to escape from a straining bowl in a kitchen before being cooked Wednesday, Feb. 18, 2015, in San Francisco. A growing number of “entopreneurs” are trying to persuade consumers that insects are the next super food, a nutritious, low-cost, environmentally friendly source of protein that can help feed a hungry world. But they face a tough job convincing Westerners that crickets, meal worms and caterpillars can be tasty treats. (AP Photo/Ben Margot) ‘Entopreneurs’ feed...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WATU BILIONI 2 WANAUMWA HOMA YA INI (HEPATITIS B) DUNIANI, CHUKUA HATUA

Virusi vya Hepatitis baada ya kulishambulia ini. Ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu. Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus).
Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho.
Watu takribani 1,000,000 wanapoteza maisha kila mwaka duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B)....

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC

Watu bilioni moja huenda wakaambukizwa virusi vya corona kote duniani na mambo pengine yabadilike, nchi zisizojiweza zinahitaji usaidizi wa haraka Shirika la kutoa msaada limeonya.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara wakubwa msiwe wachuuzi - TIC

Wafanyabiashara wakubwa mkoani hapa wametakiwa kutofanya biashara za uchuuzi badala yake wawekeze kwa kujenga vitega uchumi mbalimbali, kama vyuo, shule na viwanda ili kulinda utajiri wao.

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAUNGANISHA WAFANYABIASHARA WAKUBWA MKOANI MBEYA

Katika mwendelezo wa kuwa karibu na wateja wake benki ya NMB imezindua mtandao utakaowaunganisha wateja wake wakubwa ‘Executive Network’ kwa jiji la mbeya ikiwa na lengo la kuwafanya kufurahia zaidi huduma za kibenki kutoka NMB.  Uzinduzi huo uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya na kuwakutanisha wafanyabiashara zaidi ya 100 kutoka vitongoji mbali mbali ikiwemo Kyela, Mbozi,Tunduma, Mwanjelwa, Mbalizi Road na Usongwe waliopata fursa ya kuwa kwenye mtandao wa wafanya bishara wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Siri ya Muhongo yafichuka, Wafanyabiashara, wawekezaji wakubwa wahusishwa

*Yaelezwa wivu, majungu,fitina chanzo kingine*Wabaya wa Muhongo sasa wajipanga kufanya shereheSaid Mwishehe
SIKU moja tu baada ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo kuamua kuachia ngazi katika wizara hiyo siri kubwa imefichuka ya sababu hasa ambayo imemfanya aondoke ukiachilia mbali sakata la Escrow.

Imebainika kuwa wizara hiyo ni ngumu kwa waziri kukaa muda mrefu kutokana na kile kinachoelezwa kuwa wafanyabiashara na wawawekezaji wakubwa na wadogo wamekuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu: Ma ‘Good Men’ Wapo Mbinguni, Hapa Duniani….

Mtazamo wa staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuhusu  ‘ma good men”wanaume wazuri (tabia) kuwa wapo wachache sana hapa duniani umechukuliwa kwa mitazamo tofauti  tofauti huku wadada wengi wakionyesha kumuunga mkono na wakaka wengi wakonyesha kumpinga na kusema wanawake wazuri (tabia) ndio wachache.

Lulu kwenye ukurasa wake mtandaoni aliweka picha yenye maneno  (hapo juu) yanayosomeka kwa lugha ya malkia kama “ You’ll never see women  auguring or battling over a good...

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 27 WALIOCHUKULIWA SAMPULI VIRUSI VYA CORONA WAPO SALAMA

Watu 27 waliochukuliwa sampuli ya vipimo vya Corona Tanzania, wako salama
Watu 27 ambao waliliochukuliwa sampuli za vipimo vyao vya afya ili kuwachunguza iwapo wameambukizwa virusi vya Corona Covid-19, wapo salama.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kitengo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mlipuko katika Wizara ya Afya, Dk Janeth Mghamba akiwa na mtaalam wa majanga wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Faraja Msemwa. Wakizungumza na waandishi wa habari mjini Arusha, maafisa hao wa Wizara ya Afya nchini Tanzania, wamesema watu hao 27 walichukuliwa sampuli baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti:Uwepo wa Ewura waokoa Sh500 bilioni

Serikali imeokoa zaidi ya Sh500 bilioni zilizokuwa zinapotea katika Sekta ya Nishati kwa kipindi cha miaka mitatu ya uwapo wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura), ripoti inasema.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani