Ripoti:Uwepo wa Ewura waokoa Sh500 bilioni
Serikali imeokoa zaidi ya Sh500 bilioni zilizokuwa zinapotea katika Sekta ya Nishati kwa kipindi cha miaka mitatu ya uwapo wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura), ripoti inasema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo26 Nov
Utoaji zawadi waokoa bilioni 11/- za kodi
UTARATIBU wa kuwazawadia wananchi wanaotoa taarifa za ukwepaji wa kodi umeokoa Sh 11,084,166,416 za kodi ambayo ilikusanywa baada ya wasamaria 62 kutoa taarifa za vitendo vya ukwepaji wa kodi.
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Watu Bilioni mbili, Duniani wamekula wadudu..wapo wafanyabiashara wakubwa-Ripoti ya UN

11 years ago
Habarileo22 Dec
Takukuru Tabora waokoa milioni 107/-
JUMLA ya Sh milioni 107, zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Tabora, ambazo zilikuwa zitumike katika manunuzi hewa kwenye ofisi mbali mbali za Serikali.
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe
9 years ago
BBCSwahili21 Dec
Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab
11 years ago
Habarileo12 Apr
Polisi waokoa watoto 4 wa familia moja waliotekwa
VITENDO vya utekaji nyara watu vimeibuka jijini Dar es Salaam baada ya watu watano wenye asili ya kiarabu kutekwa wakiwemo watoto wanne wa familia moja na baadaye kuokolewa na polisi.
10 years ago
Habarileo31 Jan
Elimu waokoa mil 33/- kwa kutangaza matokeo mtandaoni
WIZARA ya Elimu imesema imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 33 ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kutoa matangazo ya mitihani kwa wanafunzi wa kidatu cha pili na darasa la saba katika vyombo vya habari.
9 years ago
StarTV28 Dec
Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja
WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.
Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Mtanzania ashinda Sh500 mil