Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ripoti:Uwepo wa Ewura waokoa Sh500 bilioni

Serikali imeokoa zaidi ya Sh500 bilioni zilizokuwa zinapotea katika Sekta ya Nishati kwa kipindi cha miaka mitatu ya uwapo wa Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura), ripoti inasema.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Utoaji zawadi waokoa bilioni 11/- za kodi

UTARATIBU wa kuwazawadia wananchi wanaotoa taarifa za ukwepaji wa kodi umeokoa Sh 11,084,166,416 za kodi ambayo ilikusanywa baada ya wasamaria 62 kutoa taarifa za vitendo vya ukwepaji wa kodi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Watu Bilioni mbili, Duniani wamekula wadudu..wapo wafanyabiashara wakubwa-Ripoti ya UN

'Entopreneurs' feed growing appetite for edible insects Meal worms try to escape from a straining bowl in a kitchen before being cooked Wednesday, Feb. 18, 2015, in San Francisco. A growing number of “entopreneurs” are trying to persuade consumers that insects are the next super food, a nutritious, low-cost, environmentally friendly source of protein that can help feed a hungry world. But they face a tough job convincing Westerners that crickets, meal worms and caterpillars can be tasty treats. (AP Photo/Ben Margot) ‘Entopreneurs’ feed...

 

11 years ago

Habarileo

Takukuru Tabora waokoa milioni 107/-

JUMLA ya Sh milioni 107, zimeokolewa na Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa mkoani Tabora, ambazo zilikuwa zitumike katika manunuzi hewa kwenye ofisi mbali mbali za Serikali.

 

9 years ago

Mwananchi

Singida waokoa Sh60 milioni za sherehe

Uongozi wa Mkoa wa Singida umefuta matumizi ya zaidi ya Sh60 milioni kwa ajili ya kugharamia sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa huo tangu kuanzishwe kwake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waislamu waokoa wakristo waliotekwa na Alshabab

Abiria wa kiislamu waliwalinda wenzao wakristo kwa kukataa kugawanywa kwa makundi basi lao lilipotekwa na wapiganaji wa Al shaabab

 

11 years ago

Habarileo

Polisi waokoa watoto 4 wa familia moja waliotekwa

VITENDO vya utekaji nyara watu vimeibuka jijini Dar es Salaam baada ya watu watano wenye asili ya kiarabu kutekwa wakiwemo watoto wanne wa familia moja na baadaye kuokolewa na polisi.

 

10 years ago

Habarileo

Elimu waokoa mil 33/- kwa kutangaza matokeo mtandaoni

WIZARA ya Elimu imesema imefanikiwa kuokoa zaidi ya Sh milioni 33 ambazo zilikuwa zikitumika kwa ajili ya kutoa matangazo ya mitihani kwa wanafunzi wa kidatu cha pili na darasa la saba katika vyombo vya habari.

 

9 years ago

StarTV

Wananchi Mbeya waokoa fedha za Serikali kwa kujenga daraja

WANANCHI wa Vijiji cha Shongo na Izumbwe kata ya Igale Mbeya Vijijini wamefanikiwa kuokoa zaidi ya shilingi milioni 20 za Serikali katika kila kijiji baada ya kujenga kwa nguvu zao wenyewe madaraja mawili kwa kutumia mawe na miti bila ya kuweka nondo.

Madaraja hayo ambayo kwa mujibu wa Wataalam yangegharimu zaidi ya shilingi milioni 20 kwa kila moja endapo ujenzi wake ungefuata taratibu za Kiserikali, yamejengwa kwa gharama ya shilingi milioni Tano kila moja fedha zilizochangwa na wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtanzania ashinda Sh500 mil

Mshindi wa Big Brother Africa Hotshots 2014, Idris Sultan (21) amesema anataka kuwa mfano wa kuigwa kwa kuwa amejifunza mengi kwa washindi waliopita wa mashindano hayo ya televisheni ya maisha halisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani