Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyabiashara wakubwa msiwe wachuuzi - TIC

Wafanyabiashara wakubwa mkoani hapa wametakiwa kutofanya biashara za uchuuzi badala yake wawekeze kwa kujenga vitega uchumi mbalimbali, kama vyuo, shule na viwanda ili kulinda utajiri wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TIC yawafunda wafanyabiashara

WAFANYABIASHARA wa Tanzania wameshauriwa kutumia fursa waliyopata wakati wa kongamano la pili la biashara kati ya Tanzania na China kujenga mtandao wa kibiashara utakaodumu kwa faida yao na nchi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAUNGANISHA WAFANYABIASHARA WAKUBWA MKOANI MBEYA

Katika mwendelezo wa kuwa karibu na wateja wake benki ya NMB imezindua mtandao utakaowaunganisha wateja wake wakubwa ‘Executive Network’ kwa jiji la mbeya ikiwa na lengo la kuwafanya kufurahia zaidi huduma za kibenki kutoka NMB.  Uzinduzi huo uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Mbeya na kuwakutanisha wafanyabiashara zaidi ya 100 kutoka vitongoji mbali mbali ikiwemo Kyela, Mbozi,Tunduma, Mwanjelwa, Mbalizi Road na Usongwe waliopata fursa ya kuwa kwenye mtandao wa wafanya bishara wa...

 

10 years ago

Vijimambo

TIC YAKUTANA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHINI UJERUMANI

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC),Juliet Kairuki (wa pili kushoto) akizungumza katika mkutano maalum kati ya Uongozi wa TIC na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani,wenye lengo la kuhamasisha na kukuza Uwekezaji na biashara kati ya Tanzania na Ujerumani,uliofanyika jana jioni kwenye ukumbi wa Mikutano ya kituo hicho,jijini Dar es salaam.Ujumbe huo unaongozwa na Waziri wa Masuala ya Kiuchumi na Nishati wa nchini Ujerumani,Mh. Matthias Machnig (wa pili...

 

10 years ago

Vijimambo

Siri ya Muhongo yafichuka, Wafanyabiashara, wawekezaji wakubwa wahusishwa

*Yaelezwa wivu, majungu,fitina chanzo kingine*Wabaya wa Muhongo sasa wajipanga kufanya shereheSaid Mwishehe
SIKU moja tu baada ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo kuamua kuachia ngazi katika wizara hiyo siri kubwa imefichuka ya sababu hasa ambayo imemfanya aondoke ukiachilia mbali sakata la Escrow.

Imebainika kuwa wizara hiyo ni ngumu kwa waziri kukaa muda mrefu kutokana na kile kinachoelezwa kuwa wafanyabiashara na wawawekezaji wakubwa na wadogo wamekuwa...

 

10 years ago

GPL

TIC YAKUTANA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA NCHINI UJERUMANI‏

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC),Juliet Kairuki (wa pili kushoto) akizungumza katika mkutano maalum kati ya Uongozi wa TIC na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini Ujerumani,wenye lengo la kuhamasisha na kukuza Uwekezaji na biashara kati ya Tanzania na Ujerumani,uliofanyika jana jioni kwenye ukumbi wa Mikutano ya kituo hicho,jijini Dar es salaam.Ujumbe huo unaongozwa na Waziri wa Masuala ya Kiuchumi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Watu Bilioni mbili, Duniani wamekula wadudu..wapo wafanyabiashara wakubwa-Ripoti ya UN

'Entopreneurs' feed growing appetite for edible insects Meal worms try to escape from a straining bowl in a kitchen before being cooked Wednesday, Feb. 18, 2015, in San Francisco. A growing number of “entopreneurs” are trying to persuade consumers that insects are the next super food, a nutritious, low-cost, environmentally friendly source of protein that can help feed a hungry world. But they face a tough job convincing Westerners that crickets, meal worms and caterpillars can be tasty treats. (AP Photo/Ben Margot) ‘Entopreneurs’ feed...

 

10 years ago

Mwananchi

Wachuuzi watelekeza soko Gonja

Wachuuzi na wafanyabiashara wa mazao ya chakula katika soko la Gonja-Maore, lililopo Kata ya Maore wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, wamelitelekeza soko la kisasa lililojengwa kwa Sh80 milioni kwa kile kilichodaiwa kukosekana kwa miundombinu muhimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wachuuzi Soko la Ilala watwangana ngumi

WANACHAMA wa Chama cha Wachuuzi wa Mizigo Soko la Ilala, jijini Dar es Salaam, wamepigana katika mkutano wao baada ya Mwenyekiti wa chama hicho, Edwin Lukalambega, kushindwa kujibu hoja za...

 

10 years ago

Habarileo

Anzisheni viwanda tusiendelee kuwa wachuuzi-Pinda

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi na kuziuza hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani