Wachuuzi watelekeza soko Gonja
Wachuuzi na wafanyabiashara wa mazao ya chakula katika soko la Gonja-Maore, lililopo Kata ya Maore wilayani Same, Mkoa wa Kilimanjaro, wamelitelekeza soko la kisasa lililojengwa kwa Sh80 milioni kwa kile kilichodaiwa kukosekana kwa miundombinu muhimu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Jan
Wachuuzi Soko la Ilala watwangana ngumi
WANACHAMA wa Chama cha Wachuuzi wa Mizigo Soko la Ilala, jijini Dar es Salaam, wamepigana katika mkutano wao baada ya Mwenyekiti wa chama hicho, Edwin Lukalambega, kushindwa kujibu hoja za...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Wafanyabiashara wakubwa msiwe wachuuzi - TIC
10 years ago
Habarileo08 May
Anzisheni viwanda tusiendelee kuwa wachuuzi-Pinda
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania wenye uwezo wa kifedha waangalie uwezekano wa kuanzisha viwanda hapa nchini badala ya kuendelea kuwa wachuuzi wa kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi na kuziuza hapa nchini.
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA CHUO CHA UFUNDI GONJA MHEZA WILAYANI SAME.
10 years ago
MichuziMEYA WA KINONDONI YUSUPH MWENDA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA SOKO LA MBURAHATI AAHIDI KUANZA KWA MRADI WA UJENZI WA SOKO JIPYA MWEZI UJAO
10 years ago
MichuziUONGOZI WA SOKO LA MCHIKICHINI -ILALA WALALAMIKIA KUKITHIRI KWA UCHAFU SOKO LA MCHIKICHINI
Katibu wa soko la Mchikichini-Ilala jijini Dar es Salaaam John Andrew akionyesha takataka zilivyo lundikana katika eneo la soko la Mchikichini-Ilala baada...